Wakenya tushukuru Mungu kwa demokrasia yetu, watani wetu wamebanwa hadi wanalia toshaaa, wanakiri kwamba nchi yao sasa imekuwa 'Police State'

Wakenya tushukuru Mungu kwa demokrasia yetu, watani wetu wamebanwa hadi wanalia toshaaa, wanakiri kwamba nchi yao sasa imekuwa 'Police State'

Hiyo ni simple mind kama jina lako,hakuna nchi iliyokamilika 100percent,ila sehemu yenye Ukabila,udini,ukanda ni hatari sana,Siasa za Tz zinachange kila wakati na asilimia kubwa ya wanasiasa waTz ni wachumia tumbo iwe CCM CDM,Cuf,ACT,Tadea wote wanahangaikia matumbo yao
Ubaguzi ni ubaguzi tu, wa rangi, kabila,taifa au chama.Narudia ten a ubaguzi na chuki za ccm kwa watanzania walio wengi.utalifikisha taifa pabaya.
 
Nani watani zenu? Kama ni sisi hatuna utani na taifa lisilojielewa, halina hata umoja wa kitaifa.
WEWE UNAUMWA SIYO UJINGA WA KIASI HIKI ULIOUONYESHA YAANI UNAFANANISHA KENYA NA MAMBO YA AJABU YA WATU WA CHATO
 
Haya. Wewe na wenzako mnaotetea haki za watz, basi tuone 2020, kama haki walinyimwa watamkataa huyu bwana, kama haki na maendeleo walivipata, watamchagua tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivyo kwa maoni yako haki za kidemokrasia ni za wakati wa uchaguzi pekee yake na baada ya hiyo huwa zinatupiliwa mbali hadi uchaguzi ufuatao? Sasa uchaguzi wenyewe ndio utakuwaje kama sasa hivi hampumui? Haya basi nimekuelewa lakini, sina la ziada.
 
Wapinzani Tz ni chini ya alfu tano..Wote waliompigia kura lowassa wapo sasa Sisiemu..Unawao waongelea ni wadau wa mitandao kama mange kimambi na miguna miguna..Takataka tuu
TAZAMA ULIVYO NA SURA MBAYA KAMA UNAKAMULIWA JIPU LA SEHEMU ZA WAZI
 
Freedom in the World 2018, hizi ndio nchi kumi duniani zinazoangaziwa
kwa kuminya demokrasia, kukandamiza wanahabari na haki za kisiasa za wananchi wao.
FitW7_820px_Country_Trend_Arrows-cropped.png

Bwana mdogo, jibu swali. Lete democracy index.
 
Nini JPM kaficha? Utawalawa wake ni wa uwazi sana, kila siku ana watumbua mawaziri, wakuu wa polisi nkt tena hadharani...Juzi tu kenyatta kaongea kuhusu mafisadi kwa ubabe....ilibidi afute accout zake zote za social media
Wajinga kama nyinyi ndo mnatufikisha hapa tulipo.
 
Hii nayo ni hatari, Civil Society Organisations Director's Forum ambayo ni mkusanyiko wa mashirika 65 ya kitanzania ya haki za kibinadamu na kidemokrasia limeamua kupaza sauti liwe liwalo. Wanalalamika na kulilia dunia kwa kile ambacho wanakiita 'Police State' ambayo mzee mtakatifu kule ikulu ameibuka nayo kwa kukandamiza kabisa upinzani, wanahabari na uhuru wa wananchi wake. Wanasema kwa mwendo huu wa kuminya demokrasia na uhuru wa wapinzani kuwa na vikao vyao, amani ya nchi inavurugwa huku katiba ikinajisiwa na viongozi wanaotawala. Matokeo yake ni wananchi wanaoishi kwa uoga na kujihisi kwamba hawapo huru kwenye nchi yao. Wameangazia sanasana kutupwa selo kwa miezi mitatu kwa kiongozi mmoja wa upinzani, Mr. Freeman Mbowe. Kunani watani wetu watanzania? Mnanikumbusha enzi za Nyayo Kenya. Mbona mmebadilika kiasi hiki? Tuliwajua kwa ustaarabu wenu ila sasa sivyo tena. https://www.africanews.com/2019/04/...n-groups-risks-undermining-peace-in-tanzania/


Ni ujinga uliopitiliza kwa Mkenya kujiona hata ana chembe ya demokrasia. Watanzania na Wakenya hatujui na hatutakuja kujua demokrasia for one reason tu. Democracy is against our culture. Tutaipamba pamba lakini hiyo demokrasia haipo. Siku ikitokea mtoto wa familia ya Kiafrika akawa ana uhuru na haki ya kumjibu na kumtukana Baba na Mama yake ndipo hapo nitakubali demokrasia imeingia Afrika. Values na behavior za democracy zinakuwa embedded toka kwenye family level kwenda juu. Till then, potezeni pumzi zenu kwenye upumbavu unaitwa democracy ndani ya culture zetu za kiafrika.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kwa hivyo kwa maoni yako haki za kidemokrasia ni za wakati wa uchaguzi pekee yake na baada ya hiyo huwa zinatupiliwa mbali hadi uchaguzi ufuatao? Sasa uchaguzi wenyewe ndio utakuwaje kama sasa hivi hampumui? Haya basi nimekuelewa lakini, sina la ziada.
Maoni yangu yepi yamesema hicho unaandika, i'm wasting me time, wewe endelea bothering youself abt Tz democracy, uchaguzi etc. There is nothing you can do or change, we dont need your sympathy, focus it kwa nchi yako yenye matatizo chungu nzima, insecurity, madeni, njaa, corruption etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna matitizo yetu ila kwa miaka miwili sasa tumeona mambo yakibadilika na siasa za chuki zikitupiliwa mbali. Wapinzani na wenzao serikalini wanaonana macho kwa macho na kuketi kwenye vikao pamoja hata nje ya bunge. Ushabik wa vyama vya kisiasa nao, kwenye masuala muhimu ya nchi, haupo tena. Ustaarabu umeshamiri na ubaguzi wa aina yoyote ule umefifia.
Maneno yako yamenivutia sana!
Umeandika kwa ufasaha!
Nashauri (kama kweli anatumia) bangi ihalalishwe maana Uhuru Kenyata pia anafaa kuwa Rais wa East Africa (kilimanjaro liwe jina la nchi hii mpya)
Na awe rais wa AFRICA Ndoto ya Nyerere, Kwame na Lumumba itimie.
 
Back
Top Bottom