simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Ubaguzi ni ubaguzi tu, wa rangi, kabila,taifa au chama.Narudia ten a ubaguzi na chuki za ccm kwa watanzania walio wengi.utalifikisha taifa pabaya.Hiyo ni simple mind kama jina lako,hakuna nchi iliyokamilika 100percent,ila sehemu yenye Ukabila,udini,ukanda ni hatari sana,Siasa za Tz zinachange kila wakati na asilimia kubwa ya wanasiasa waTz ni wachumia tumbo iwe CCM CDM,Cuf,ACT,Tadea wote wanahangaikia matumbo yao