haya wakenya nyingine hii hapa,imagine hapo kenya jubilee ilazimishe primary school students kwenda kusafisha office zake then mtu wa ODM akataze mwanaye halafu district commisoner anaamrisha police wamkamate,hiyo ndiyo NEW TANZANIA najua hamuamini ila ni disaster kwa kifupi tumekatika tumegawanyika kama nchi kuna watoto wapendwa yaani ccm na step kids yaani opposition, ni mateso makubwa tribulation ndugu zetu ,kenya mnayo matatizo yenu tunajua ila sisi tunapoeleka itakuwa the worst tunaongozwa na kichaa a.k,a jiwe,hawezi kushindana hawezi ku argue,ni muoga wa challenges anapenda kusifiwa tu hadi hesabu za serikali anaficha hamtaki CAG sababu anafichua madudu,so far 1 billion dollars hazijulikani zimetumikaje
View attachment 1067271