wakenya waandamana mpaka bungeni

Kenyans have always meant business. Go Kenya go....!
 
duh watu wako serious aiseee anyway lets wait and see what comes
 
hongereni wakenya kweli mmetimiza hitaji la kikatiba,mishahara ya wabunge ni mikubwa mno
 
Hii nchi ni rahisi sana kuitawala.

Yani umeme juu, watu kimyaaa!!
Wabunge hawataki laki 3, wanataka laki 7, watu kimyaaaaa!!
 
Proud to be Kenyan, yaani tulaani na kabisa tabia za hawa majambazi MPIGS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…