Wakenya waanza kulialia, wahisi kudharauliwa na majirani wake

Wakenya waanza kulialia, wahisi kudharauliwa na majirani wake

Acheni mbwembwe, mnachochea migogoro mpate wakimbizi mpige dola za mzungu! Na hii itawatokea puani kama pesa za korona,
 
Ukiwa mtenda mabaya, wewe mwenye haujijui. Ukiwe mtenda mabaya, kila siku utasema unaonewa. Ukiwa na roho mbaya...
Hahahaha, sijui kama wanaujua huu wimbo, unawahusu wao kabisaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dear Tanzanians
Screenshot_20201022-230447_1.jpg
 
Wa kenya wana zarau wana jiona wao ni exceptional within EAC, ila ma best zao ni rwanda coz wa rwanda wana wapenda sana wa kenya.
 
Watanzania kwenye hii thread wanaonyesha wazi jinsi wanavyoichukia Kenya na Wakenya kwa ujumla. Solution ni Wakenya kupuuza kabisa Watanzania na nchi yao.
Inatakiwa mjipuuze kwanza nyie wenyewe
 
Eti waliwasaidia Uganda wakati wa utawala wa idd Amini huu ni uongo wa wazi kenya walikuwa wakimwogopa sana Amin dunia nzima wanajua nani waliwakomboa uganda tafuteni kick nyingine hata Somalia wamewashitukia mnavyotaka kuwapora rasilimali zao mbona sisi majeshi yetu yapo Kongo lakini rasilimali ya mafuta na gesi iliyopo ziwa Tanganyika tunashirikiana.
 
Jumuhiya ya afrika mashariki ilipovunjika wakenya waliiba mali nyingi zikiwemo ndege ndio maana sasa hivi tumekuwa makini nao sana
 
Back
Top Bottom