Wakenya waanza kusalimu amri na kukubaliana na Magufuli, waomba Uhuru Kenyatta kuiga mbinu za Magufuli

Kumekucha

Hakuna kitu Kenya inaficha lakini Tanzania kazi yao Ni kuzika watu usiku.
Kumekucha

ndiyo zenu hizo kina Bashite.
mkikosa hoja mnakimbilia kuwaita wenzenu siyo Watanzania au vibaraka wa mabeberu.
I like the way nithis thread has aged. Epic fail, your fellow Tanzanians are the ones telling you how stupid you sound. Lol
 
Mbona husemi tz wanapima kiasi gani,na wana maambukizi kiasi gani?wee wakazania ke na ug tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…