joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #61
Na ninyi endeleeni kuwaua raia wenu kwa ajili ya Corona, hadi mwisho wa Corona wote mtakua mumeuliwa na POLISI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ninyi endeleeni kuwaua raia wenu kwa ajili ya Corona, hadi mwisho wa Corona wote mtakua mumeuliwa na POLISI.
KumekuchaHakuna kitu Kenya inaficha lakini Tanzania kazi yao Ni kuzika watu usiku.
ndiyo zenu hizo kina Bashite.
mkikosa hoja mnakimbilia kuwaita wenzenu siyo Watanzania au vibaraka wa mabeberu.
Ukweli unauma, jamaa inaeza kua wewe pengine ni wale askari wa CCM ambao munatumiwa kuangamiza wapingamizi wa ujinga na propaganda za ccm, (assasin) mna ua wasema ukweli. Hiyo roho mbaya inaonekana kupitia maoni yako. Mnachuki na watanzania wanao sema ukweli ama kupinga serikali kiukweli., nenda tetea ccm kwa jukwaa lenyu la news...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivyo siku lockdown tena? Sasa imekuwa "partial lockdown"? You need to look up the meaning of the word lockdown.
Ni kweli idadi inazidi kuongezeka kwetu na hilo ni wazi. Swali ni je: Aren't there new cases and deaths in Tanzania in the last one week?
I like the way nithis thread has aged. Epic fail, your fellow Tanzanians are the ones telling you how stupid you sound. Lol
Wiki hii tumeua wangapi!!usitake kuandika vitu ndio uhalalishe upuuzi...Na ninyi endeleeni kuwaua raia wenu kwa ajili ya Corona, hadi mwisho wa Corona wote mtakua mumeuliwa na POLISI.
Sent using Jamii Forums mobile app
kenya hakuna total lockdown,ipo partial lockdown/curfew,njoo na hoja nyingine[emoji40][emoji40][emoji40]Wakati "lockdown" Uganda na Rwanda inasaidia kupunguza kuenea kwa maambukizi, Kenya ndio inazidisha kuenea kwa maambukizi, hiyo ndio maana halisi ya "Failed state".
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule Kariobangi familia 5000 zinalala nje na mvua yoote!Wiki hii tumeua wangapi!!usitake kuandika vitu ndio uhalalishe upuuzi...
Ficheni tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekucha
Kumekucha
Kazi yao ni imekuwa ni ya kuficha mambo ndiyo taifa zingine I kwamba Tanzania ni kubaya. Lakini kuna mengine hamwezi mkaficha kama haya tazama hiyo number plate alafu useme ni ya wapi. @naton
View attachment 1446575
Mbona husemi tz wanapima kiasi gani,na wana maambukizi kiasi gani?wee wakazania ke na ug tuUganda wanapima zaidi ya Kenya, lakini hawapati watu wenye virusi, Kenya wanapima watu wachache zaidi lakini wanapata watu wengi wenye virusi kuliko Uganda.
Hivi unaona sifa gani kwa Kenya kushindwa kuimarisha njia na mbinu za kuzuia maambukizi yasizidi kuenea, badala yake unafurahia kupima pekee na kushuhudia idadi ya maambukizi ikizidi siku hadi siku?.
"Ultimate goal" ni kuona idadi inapungua siku hadi siku, sio kujua idadi inaongezeka siku hadi siku. Kenya wanachofanya kinawawezesha kujua kwamba idadi ya maambukizi inaongezeka lakini sio kupunguza maambukizi kama Uganda.
Sent using Jamii Forums mobile app