Wakenya waanzisha tena chokochoko na majirani zake, yatoa shutuma bila kuwa na ushahidi

Wakenya waanzisha tena chokochoko na majirani zake, yatoa shutuma bila kuwa na ushahidi

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Hii ndio sababu kubwa ya Wakenya kushindwa kuelewana na majirani zake, muda wote wao wanahisi kuzungukwa na kutendewa vibaya na majirani zake.

Serikali ya Tanzania ilimtuma waziri wa mambo ya nchi za nje kuwahakikishia kwamba Tanzania inaunga mkono Kenya katika huu uchaguzi, hili la kusema Tanzania, Uganda na Ethiopia hazikuichagua Kenya wamelipata wapi wakati kura ni siri?.

Hivi raia na viongozi wa hizo nchi wakisikia kwamba Kenya inawalaumi bila kuwepo ushahidi huku wakijua kwamba waliichagua Kenya watajisikiaje? Kenya mnategemea mahusiano yenu na hao majirani mnaowashutumu ambao ndio nchi Jirani muhimu sana kwa uchumi na ulinzi na usalama wa nchi yenu yatakuaje siku zijazo? Kamwe hamtoweza kuelewana na majirani wenu, mtaendelea kutengwa kutokana na akili zenu mbovu.

Kenyans React After Neighbors: Tanzania, Uganda and Ethiopia Vote Against Kenya in the UNSC Election

======

photo_2020-06-22_20-24-53.jpg
 
joto la jiwe,
Nyinyi mna roho mbaya. Tunajua hamkutuchagua. Uganda wasipotuchagua hio ndio inaweza kutuuma sana kwa sababu hao ni ndugu zetu wa karibu sana.
 
Kenya tuna rafiki mmoja tu Afrika Mashariki kwa jina la Uganda
 
Kenya tuna rafiki mmoja tu Afrika Mashariki kwa jina la Uganda
Hata huyo pia mnaanza kumshutumu bila ushahidi wowote ule. Ninakumbuka hata katika uchaguzi wa AU pia mliishutumu Uganda, juzi wakenya wanawashutumu POLISI wa Uganda kuwanyanyasa Wakenya, wiki iliyopita wakora toka Kenya walivuka na kushambulia kambi ya UPDF na kuua nwanajeshi wa Uganda, ninyi mkoje?

Ninaugakika katika hili Tanzania iliichagua Kenya kama ilivyotoa ahadi, haikuwa na sababu zozote za kutoichagua Kenya kwa sababu nafasi yenyewe haina umuhimu wowote, ila ninahisi ilifanya kosa kuchagua nchi ya hovyo isiyokua na shukran, hili kosa sitegemei tena kama GoT italirudia tena.
 
Kwani ni lazima hizo nchi ziwachague?

Sijui kwann Misri, Nigeria, South Africa, Ghana au Angola hawakugombea hiyo nafasi
 
Hata huyo pia mnaanza kumshutumu bila ushahidi wowote ule. Ninakumbuka hata katika uchaguzi wa AU pia mliishutumu Uganda, juzi wakenya wanawashutumu POLISI wa Uganda kuwanyanyasa Wakenya, wiki iliyopita wakora toka Kenya walivuka na kushambulia kambi ya UPDF na kuua nwanajeshi wa Uganda, ninyi mkoje?.

Ninaugakika katika hili Tanzania iliichagua Kenya kama ilivyotoa ahadi, haikuwa na sababu zozote za kutoichagua Kenya kwa sababu nafasi yenyewe haina umuhimu wowote, ila ninahisi ilifanya kosa kuchagua nchi ya hovyo isiyokua na shukran, hili kosa sitegemei tena kama GoT italirudia tena.
Kenya wameng'anga'ania nafasi kwa vile wanaaamini wata-influence ICC kwenye kesi yao ya kuiba sea territory na Somalia! Yetu macho!
 
Mbwa mwenye kichaa huwa anang`ata tu watu au vitu hovyo hovyo bila mpangilio.. Dawa yenu tunayo.
 
Kenya wameng'anga'ania nafasi kwa vile wanaaamini wata-influence ICC kwenye kesi yao na Somalia! Yetu macho!

Baada ya kuwa koloni la Mchina upepo umewageukia, mabeberu wamewatupa kando. Hivyo hawana ushawishi wowote huko ICC maana hakuna mbeleko ya US tena.
 
Kenya ni jirani mnafiki ndio maana anachuki na jirani zake wote. Hakuna asiyejua namna Kenya inavyojinyenyekesha kwa wazungu. Huwezi panga wala kutelekeza jambo lolote na wao ndio maana wanatengwa ajabu ni kuwa wao hawalitambui hilo
 
Yaani ni watu wa hovyo sana hawa jamaa, kila nchi kwao wanahisi inawaonea, yaani wanakera sana hawa jamaa, ndio sababu hawatoacha kuchinjana na kubaguana, hovyo sana hawa jamaa.
 
Hata huyo pia mnaanza kumshutumu bila ushahidi wowote ule. Ninakumbuka hata katika uchaguzi wa AU pia mliishutumu Uganda, juzi wakenya wanawashutumu POLISI wa Uganda kuwanyanyasa Wakenya, wiki iliyopita wakora toka Kenya walivuka na kushambulia kambi ya UPDF na kuua nwanajeshi wa Uganda, ninyi mkoje?

Ninaugakika katika hili Tanzania iliichagua Kenya kama ilivyotoa ahadi, haikuwa na sababu zozote za kutoichagua Kenya kwa sababu nafasi yenyewe haina umuhimu wowote, ila ninahisi ilifanya kosa kuchagua nchi ya hovyo isiyokua na shukran, hili kosa sitegemei tena kama GoT italirudia tena.
Nyie na wivu zenu hamuwezi kuchagua Kenya. Nilijua Uganda ingechagua Kenya. Kwa upekuzi wangu nimetafuta dokumenti ya nchi zilizopigia Djibouti kura na nikaipata. Tazama hapa
Nchi hizi hazikupigia Kenya kura. Wengine wanajifanyanga marafiki zetu kumbe ni adui.
 
Acha kusema majirani, Sema wajinga wa Danganyika
 
Back
Top Bottom