joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #21
Hahahaha, Kenya hoyeeeeAcha kusema is, Sema wajinga wa Danganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha, Kenya hoyeeeeAcha kusema is, Sema wajinga wa Danganyika
Mnapaa wapi wakati mnakufa na corona kila siku?Endeleeni kuichukia Kenya🇰🇪, sisi bado tunapaa na tutazidi kupaa.
Shukran.
Hivi migingo ipo Kenya au Uganda tufaamishe tafadhaliKenya tuna rafiki mmoja tu Afrika Mashariki kwa jina la Uganda
Oya brathamen, endelea kuzika maiti usiku wa manane kama kawaida.Mnapaa wapi wakati mnakufa na corona kila siku?
Endelea kujifariji.Oya brathamen, endelea kuzika maiti usiku wa manane kama kawaida.
Nyie bhana,kila jirani yenu mtamuona adui kama mjaluo anavyomuona mkikuyu adui,sie hata atuwashangai,maana ndio mmekuzwa hivyo,kuchukiana chukiana tu!
Photo from diGOLDOya brathamen, endelea kuzika maiti usiku wa manane kama kawaida.
Nani anemchukia mwingine kati ya KE na TZ?Nyie bhana,kila jirani yenu mtamuona adui kama mjaluo anavyomuona mkikuyu adui,sie hata atuwashangai,maana ndio mmekuzwa hivyo,kuchukiana chukiana tu!
Somalia,ethiopia,uganda kote huko mnachezea za chembe kwa roho mbaya yenuNani anemchukia mwingine kati ya KE na TZ?
Wewe jamaa na geza ulole wakenya mnawanyoosha sana...Hii ndio sababu kubwa ya Wakenya kushindwa kuelewana na majirani zake, muda wote wao wanahisi kuzungukwa na kutendewa vibaya na majirani zake.
Serikali ya Tanzania ilimtuma waziri wa mambo ya nchi za nje kuwahakikishia kwamba Tanzania inaunga mkono Kenya katika huu uchaguzi, hili la kusema Tanzania, Uganda na Ethiopia hazikuichagua Kenya wamelipata wapi wakati kura ni siri?.
Hivi raia na viongozi wa hizo nchi wakisikia kwamba Kenya inawalaumi bila kuwepo ushahidi huku wakijua kwamba waliichagua Kenya watajisikiaje? Kenya mnategemea mahusiano yenu na hao majirani mnaowashutumu ambao ndio nchi Jirani muhimu sana kwa uchumi na ulinzi na usalama wa nchi yenu yatakuaje siku zijazo? Kamwe hamtoweza kuelewana na majirani wenu, mtaendelea kutengwa kutokana na akili zenu mbovu.
Kenyans React After Neighbors: Tanzania, Uganda and Ethiopia Vote Against Kenya in the UNSC Election
Na hawataki kujitafakari na kujichunguza kwa nini wanakwaruzana na kila jirani wamekalia lawama tu.Nyie bhana,kila jirani yenu mtamuona adui kama mjaluo anavyomuona mkikuyu adui,sie hata atuwashangai,maana ndio mmekuzwa hivyo,kuchukiana chukiana tu!
Wa-TZ hatuwapendi Wa-KE vile president wao ako anaongea Kiinglishi sana!Hii ndio sababu kubwa ya Wakenya kushindwa kuelewana na majirani zake, muda wote wao wanahisi kuzungukwa na kutendewa vibaya na majirani zake.
Serikali ya Tanzania ilimtuma waziri wa mambo ya nchi za nje kuwahakikishia kwamba Tanzania inaunga mkono Kenya katika huu uchaguzi, hili la kusema Tanzania, Uganda na Ethiopia hazikuichagua Kenya wamelipata wapi wakati kura ni siri?.
Hivi raia na viongozi wa hizo nchi wakisikia kwamba Kenya inawalaumi bila kuwepo ushahidi huku wakijua kwamba waliichagua Kenya watajisikiaje? Kenya mnategemea mahusiano yenu na hao majirani mnaowashutumu ambao ndio nchi Jirani muhimu sana kwa uchumi na ulinzi na usalama wa nchi yenu yatakuaje siku zijazo? Kamwe hamtoweza kuelewana na majirani wenu, mtaendelea kutengwa kutokana na akili zenu mbovu.
Kenyans React After Neighbors: Tanzania, Uganda and Ethiopia Vote Against Kenya in the UNSC Election
Hivi nitajie jirani mmoja wa Tanzania ambaye hamjakotofishana naye.Nyie bhana,kila jirani yenu mtamuona adui kama mjaluo anavyomuona mkikuyu adui,sie hata atuwashangai,maana ndio mmekuzwa hivyo,kuchukiana chukiana tu!
Zambia, Burundi, Mozambique, DRCHivi nitajie jirani mmoja wa Tanzania ambaye hamjakotofishana naye.