Wakenya waanzisha tena chokochoko na majirani zake, yatoa shutuma bila kuwa na ushahidi

Wewe jamaa na geza ulole wakenya mnawanyoosha sana...
Safi sana, lazima wakae kwenye mstari wanaostahili...
 
Wa-TZ hatuwapendi Wa-KE vile president wao ako anaongea Kiinglishi sana!
 
Nyie bhana,kila jirani yenu mtamuona adui kama mjaluo anavyomuona mkikuyu adui,sie hata atuwashangai,maana ndio mmekuzwa hivyo,kuchukiana chukiana tu!
Hivi nitajie jirani mmoja wa Tanzania ambaye hamjakotofishana naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…