Wakenya waendelea kuja kujifunza Tanzania

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Hii ni uthibitisho kwamba Tanzania ni " model country" katika ukanda huu. Baada ya juhudi kubwa zilifanywa na serikali ya awamu ya tano kufufua usafirishaji wa mizigo ya Uganda na South Sudan kupitia bandari ya Dar, jambo lililosababisha WFP kuikimbia bandari ya Mombasa, WFP ukanda wa Kenya imesalimu amri na kuamua kuja kujifunza ili kuboresha utendaji wao wa Kazi. " If you can't fight them, join them". Tanzania hoyeeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…