Wakenya waendelea kutafuna SADC

hii story imekupa maumivu mpaka daa! waKenya sio wabeba ma box kama mlivyo wabongo!
 
hii story imekupa maumivu mpaka daa! waKenya sio wabeba ma box kama mlivyo wabongo!

Ha ha ha
🤣 😛🙂
Kijana wangu, siwezi kupata uchungu na viu personal kama hivyo. Huyo mfanyakazi muache afanye kazi kwa manufaa yake, familia yake, kampuni aliyoajilriwa na nchi ya Malawi.
 
Wewe kwenye hayo mazingira ya isolation from politics na ubabe wako wa good grades striker on papers umekufikisha wapi kwenye mchango wako kwa jamii yako?

Tanzania ni nchi ya opportunities kede kede, sasa wewe umetap vipi na kuleta tofauti apart from these crying and lamenting for nothing?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…