Wakenya waendelea kutafuna SADC

Wakenya waendelea kutafuna SADC

Aha haaa
You are worldwide known for being good asylum seekers. It's not happened by choice but chance. You are forced to leave your country because of extreme poverty. You can come here by claiming that you possess a massive number of billionaires, yes which is true. But a good number of you are pushed away from that wealth. Many are starving, but few are enjoying the glory of the land.
Many Kenyans do not feel like staying at their country. You're always thinking on quitting the country. The reason for this is, they feel like are exploited in their own land.
hii story imekupa maumivu mpaka daa! waKenya sio wabeba ma box kama mlivyo wabongo!
 
hii story imekupa maumivu mpaka daa! waKenya sio wabeba ma box kama mlivyo wabongo!

Ha ha ha
🤣 😛🙂
Kijana wangu, siwezi kupata uchungu na viu personal kama hivyo. Huyo mfanyakazi muache afanye kazi kwa manufaa yake, familia yake, kampuni aliyoajilriwa na nchi ya Malawi.
 
inshort hizo nyimbo za ukombozi zipo outdated maana kwa kizazi cha sasa ni kama zipo irrelevant. Kwa sasa ni race za kiuchumi ambazo kizazi kikubwa kilichopo katika serikali yetu hakiijui maana ujamaa mindset zinawatesa. Bad enough wananchi wengi wananunuliwa kwa petty stuffs especially social ones maana wengi ndizo wanazozielewa kwa urahisi kuliko vitu vyenye manufaa makubwa kwa taifa hili.

ubaya hii nchi kubadilika itachukua muda sana maana hata wenye akili hujitenga na siasa au huwa hawapo interested na uongozi. Tuliopita vyuoni tunalijua hili maana ni mara chache wale wenye uwezo kugombea au kupata uongozi na mwisho hao viazi wa vyuoni ndo tunawakuta katika high ranks. Mungu atusaidie
Wewe kwenye hayo mazingira ya isolation from politics na ubabe wako wa good grades striker on papers umekufikisha wapi kwenye mchango wako kwa jamii yako?

Tanzania ni nchi ya opportunities kede kede, sasa wewe umetap vipi na kuleta tofauti apart from these crying and lamenting for nothing?
 
Back
Top Bottom