Wakenya waendelea kuteseka kwa taarifa za Tanzania kuingia katika kundi la uchumi wa kati

Wakenya waendelea kuteseka kwa taarifa za Tanzania kuingia katika kundi la uchumi wa kati

So SGR kutofunguliwa mwaka Jana ni kazi ya Chadema? Bagamoyo pia ni Chadema?
Usome na kuelewa ,Mimi nimezungumzia kupinga mfano mbowe alitaka mradi wa umeme usitishwe pesa zichukuliwe zitumike kupambana na korona sasa c kupiga hatua nyuma huko maana itabidi uwalipe kampuni umevunja mkataba
 
Si mliahidi itafunguliwa Novemba 2019 ama kwa akili zako za kuvukia barabara ushasahau?
Hayo yalikuwa makadilio ila c inajengwa kwani imesimama tofauti kina mbowe na Zito wao wanapinga kabisa kitu kisifanyike ndio nachozungumzia Mimi
 
Kuna mtanzania flani amechambua data sawasawa na kuonyesha vile chini ya JPM, hio GNI/capita ndo imekua kwa chini zaidi kulinko enzi za JK... Kwahivyo sifa zote zinafaa zimuendee JK kwa kuongeza angalau $200/capita kila miaka mitano, JPM amengeza less than $60




post Zitto: Mwaka 2015 pato letu lilikuwa USD 1,060, kuingia pato la kati la chini ni 1,090 lengo la nchi ni kufika USD 3,000. Sasa sherehe za nini?

Qoute:
Mimi bhana, sijui lakini kwa kutumia takwimu zile zile za World Bank, narudia narudia tena hapa kwamba kwa takwimu hizo za WB, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na hata corrupt JK Government, was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).

2444539_per_capita.png


Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
2444540_per_capita_2.png


Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.
2444538_per_capita_3.png


Sio siri tena kwamba, kwa takwimu hizo hapo juu, inathibitisha kwamba Magu ameharibu uchumi!

EndQuote

Zitto: Mwaka 2015 pato letu lilikuwa USD 1,060, kuingia pato la kati la chini ni 1,090 lengo la nchi ni kufika USD 3,000. Sasa sherehe za nini?
 
Wewe mwenyewe hujui ilipofika unless uko na ushahidi?
Hayo yalikuwa makadilio ila c inajengwa kwani imesimama tofauti kina mbowe na Zito wao wanapinga kabisa kitu kisifanyike ndio nachozungumzia Mimi
 
Kuna mtanzania flani amechambua data sawasawa na kuonyesha vile chini ya JPM, hio GNI/capita ndo imekua kwa chini zaidi kulinko enzi za JK... Kwahivyo sifa zote zinafaa zimuendee JK kwa kuongeza angalau $200/capita kila miaka mitano, JPM amengeza less than $60




post Zitto: Mwaka 2015 pato letu lilikuwa USD 1,060, kuingia pato la kati la chini ni 1,090 lengo la nchi ni kufika USD 3,000. Sasa sherehe za nini?

Qoute:
Mimi bhana, sijui lakini kwa kutumia takwimu zile zile za World Bank, narudia narudia tena hapa kwamba kwa takwimu hizo za WB, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na hata corrupt JK Government, was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).

2444539_per_capita.png


Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
2444540_per_capita_2.png


Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.
2444538_per_capita_3.png


Sio siri tena kwamba, kwa takwimu hizo hapo juu, inathibitisha kwamba Magu ameharibu uchumi!

EndQuote

Zitto: Mwaka 2015 pato letu lilikuwa USD 1,060, kuingia pato la kati la chini ni 1,090 lengo la nchi ni kufika USD 3,000. Sasa sherehe za nini?
Quite insightful ............ Hiyo $54 ndio huyo jamaa ameng'ang'ana nayo miaka mitano 😱😱😳. Maajabu!!!
 
Imeshakilika mpaka moro najua unauliza kijanja unataka kujua hahahaha
Huyo mjinga kazi yake ni kuzurura kwenye jukwaa la siasa halafu anacopy nyuzi za kijinga na kuanza kuzipaste kwenye threads ili avuruge badala ya kujadili.
 
Huyo mjinga kazi yake ni kuzurura kwenye jukwaa la siasa halafu anacopy nyuzi za kijinga na kuanza kuzipaste kwenye threads.
Bc kama ndio hivyo kina Zito ,mbowe na series ya kina Halima mdee watampotesa Sana ,mana hawa watu wanaweza wakapiga propaganda ya uchumi wa Tanzania umesambalatika Kwa maslai ya kuwalaghai wananchi mpaka ukawaamini ila kwa yeye hatojua ujweli
 
Bc kama ndio hivyo kina Zito ,mbowe na series ya kina Halima mdee watampotesa Sana ,mana hawa watu wanaweza wakapiga propaganda ya uchumi wa Tanzania umesambalatika Kwa maslai ya kuwalaghai wananchi mpaka ukawaamini ila kwa yeye hatojua ujweli
Yaani source ya habari zake ni jukwaa la siasa.
 
Back
Top Bottom