Sasa bandari watachukua akina nani?
Wakamba watakufa na baharSasa bandari watachukua akina nani?
Nchi gani walionyoshana hawana dharau? Mbona Somalia ndio ovyo ovyo mpaka mwisho?Africa bila kuchapana mambo hayaendi. Ukiangalia nchi ambazo watu hawajanyooshwa viongizi wao wana dharau sana.
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Ao bado hawajamiliza kunyooshana. Wakimaliza wataacha dharauNchi gani walionyoshana hawana dharau? Mbona Somalia ndio ovyo ovyo mpaka mwisho?
Congo ndio usiseme.
Nchi gani sasa nitajie.
Kauli yako ina ukakasAfrica bila kuchapana mambo hayaendi. Ukiangalia nchi ambazo watu hawajanyooshwa viongizi wao wana dharau sana.
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Hili ndilo litakuwa suluhisho la kudumu, kuweka buffer zone kati ya Wajaluo na Wakikuyu na kulazimisha Nchi hiyo kugawanywa kati ya Wajaluo na Wakikuyu kama vile Kosovo na Serbia, ili kuokoa maisha ya wasio na hatia hasa Watoto na Wanawake, ...
upuuzi
Kwa kujikomba kwa wakenya hujambo.Tena wala sio kidogo, akili zake zinafanana na yule Fisadi Mkapa au Dikitekta uchwara
Nyumba ya mwenzio ikiuungua moto usishangailie cheche huwa zinapaaKazi kuombea wenzako mabaya wakati ya kwetu hapa bongo yanatushinda. Kibiti ni Kijiji lakini tumeshindwa kukidhibiti kwa mauaji halafu unaombea nyumba ya mwenzako.
heheheheTena wala sio kidogo, akili zake zinafanana na yule Fisadi Mkapa au Dikitekta uchwara
Mkuu siku si nyingi tutakupakia kwenye fuso uende Kibiti maana hakuna namna tena..mHili ndilo litakuwa suluhisho la kudumu, kuweka buffer zone kati ya Wajaluo na Wakikuyu na kulazimisha Nchi hiyo kugawanywa kati ya Wajaluo na Wakikuyu kama vile Kosovo na Serbia, ili kuokoa maisha ya wasio na hatia hasa Watoto na Wanawake, kwa maana tumechoka sasa kupatanisha, ...