Wakenya wakichapana tena, dawa yao kuwagawa tu!

Wakenya wakichapana tena, dawa yao kuwagawa tu!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Hili ndilo litakuwa suluhisho la kudumu, kuweka buffer zone kati ya Wajaluo na Wakikuyu na kulazimisha Nchi hiyo kugawanywa kati ya Wajaluo na Wakikuyu kama vile Kosovo na Serbia, ili kuokoa maisha ya wasio na hatia hasa Watoto na Wanawake, kwa maana tumechoka sasa kupatanisha, ...
 
Sasa bandari watachukua akina nani?
 
Sasa bandari watachukua akina nani?


Pwani si Kenya!

mrc-pwani-kenya.jpg


543021_10151636294595254_291286776_n.jpg
 
Africa bila kuchapana mambo hayaendi. Ukiangalia nchi ambazo watu hawajanyooshwa viongizi wao wana dharau sana.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Nchi gani walionyoshana hawana dharau? Mbona Somalia ndio ovyo ovyo mpaka mwisho?
Congo ndio usiseme.
Nchi gani sasa nitajie.
 
Tena round hii n kubaya mungu tu asaidie
Maana wajaluo hawatak
Kuskia kwamba wameshindwa
 
Nchi gani walionyoshana hawana dharau? Mbona Somalia ndio ovyo ovyo mpaka mwisho?
Congo ndio usiseme.
Nchi gani sasa nitajie.
Ao bado hawajamiliza kunyooshana. Wakimaliza wataacha dharau

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Africa bila kuchapana mambo hayaendi. Ukiangalia nchi ambazo watu hawajanyooshwa viongizi wao wana dharau sana.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Kauli yako ina ukakas
 
Hili ndilo litakuwa suluhisho la kudumu, kuweka buffer zone kati ya Wajaluo na Wakikuyu na kulazimisha Nchi hiyo kugawanywa kati ya Wajaluo na Wakikuyu kama vile Kosovo na Serbia, ili kuokoa maisha ya wasio na hatia hasa Watoto na Wanawake, ...

Kazi kuombea wenzako mabaya wakati ya kwetu hapa bongo yanatushinda. Kibiti ni Kijiji lakini tumeshindwa kukidhibiti kwa mauaji halafu unaombea nyumba ya mwenzako.
 
Kazi kuombea wenzako mabaya wakati ya kwetu hapa bongo yanatushinda. Kibiti ni Kijiji lakini tumeshindwa kukidhibiti kwa mauaji halafu unaombea nyumba ya mwenzako.
Nyumba ya mwenzio ikiuungua moto usishangailie cheche huwa zinapaa

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Hili ndilo litakuwa suluhisho la kudumu, kuweka buffer zone kati ya Wajaluo na Wakikuyu na kulazimisha Nchi hiyo kugawanywa kati ya Wajaluo na Wakikuyu kama vile Kosovo na Serbia, ili kuokoa maisha ya wasio na hatia hasa Watoto na Wanawake, kwa maana tumechoka sasa kupatanisha, ...
Mkuu siku si nyingi tutakupakia kwenye fuso uende Kibiti maana hakuna namna tena..m

Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app
 
Utangoja.....Na mnadhania kuingia Kenya kupeana orders itakuwa Rahisi?? Wamama na Watoto wa Namanga wata charaza JWTZ tusiende hata KDF .....the number of Guns in Civilian hands in Kenya is 10times the number of guns on JWTZ

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom