Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,461
- 2,158
Sawa mkuu itabidi upakkiwe tu kwenye fuso uendeke huko hata kama ni nyumbani ili utoe na mmresho wa kuishi huko alafu wakenya ndio wagauwe..sawa!Huko mimi ndo home, toka nitoke!
Mchochezi wwMi karibia deile niko huko mbona!
Ungemalizia tena na Sheitwan mkubwa!Anachoombea binadamu wenzake huyo jamaa!Sijui niseme....Mchochezi ww
Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app
Utangoja.....Na mnadhania kuingia Kenya kupeana orders itakuwa Rahisi?? Wamama na Watoto wa Namanga wata charaza JWTZ tusiende hata KDF .....the number of Guns in Civilian hands in Kenya is 10times the number of guns on JWTZ
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Hili ndilo litakuwa suluhisho la kudumu, kuweka buffer zone kati ya Wajaluo na Wakikuyu na kulazimisha Nchi hiyo kugawanywa kati ya Wajaluo na Wakikuyu kama vile Kosovo na Serbia, ili kuokoa maisha ya wasio na hatia hasa Watoto na Wanawake, kwa maana tumechoka sasa kupatanisha, ...
Hili povu zito sana. Ni kichaa pekee anaweza toa povu zito hivi.Utangoja.....Na mnadhania kuingia Kenya kupeana orders itakuwa Rahisi?? Wamama na Watoto wa Namanga wata charaza JWTZ tusiende hata KDF .....the number of Guns in Civilian hands in Kenya is 10times the number of guns on JWTZ
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Kazi kuombea wenzako mabaya wakati ya kwetu hapa bongo yanatushinda. Kibiti ni Kijiji lakini tumeshindwa kukidhibiti kwa mauaji halafu unaombea nyumba ya mwenzako.
Kijiji cha Kibiti..Hili povu zito sana. Ni kichaa pekee anaweza toa povu zito hivi.
Mgambo wa al shabab mmewashinda wakati wanatumia marungu, sime na manati. Sasa ujitutumue kwa Jeshi pendwa la Wananchi wa Tanzania. Iliwanyoosha M23, waliopindua Comoros, Waliopindua Seychelles, Nduli dadaa Idd Amin kwa muda mfupi sana.
Acheni mbwembwe nyingi.
Kimefanyaje!?Kijiji cha Kibiti..
Hili ndilo litakuwa suluhisho la kudumu, kuweka buffer zone kati ya Wajaluo na Wakikuyu na kulazimisha Nchi hiyo kugawanywa kati ya Wajaluo na Wakikuyu kama vile Kosovo na Serbia, ili kuokoa maisha ya wasio na hatia hasa Watoto na Wanawake, kwa maana tumechoka sasa kupatanisha, ...
Aisee ngoja ninywe maji kwanza nitarudi kusoma.Sawa mkuu itabidi upakkiwe tu kwenye fuso uendeke huko hata kama ni nyumbani ili utoe na mmresho wa kuishi huko alafu wakenya ndio wagauwe..sawa!
Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app
Yule mbwa aliewaita wapumbavu ni kwakua tu anaishi ktk ya maiti watembeao ila siku yao ipo yule mbwa atakionqNchi gani walionyoshana hawana dharau? Mbona Somalia ndio ovyo ovyo mpaka mwisho?
Congo ndio usiseme.
Nchi gani sasa nitajie.