Wakenya wakichapana tena, dawa yao kuwagawa tu!

Huko mimi ndo home, toka nitoke!
Sawa mkuu itabidi upakkiwe tu kwenye fuso uendeke huko hata kama ni nyumbani ili utoe na mmresho wa kuishi huko alafu wakenya ndio wagauwe..sawa!

Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu itabidi upakkiwe tu kwenye fuso uendeke huko hata kama ni nyumbani ili utoe na mmresho wa kuishi huko alafu wakenya ndio wagauwe..sawa!

Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app


Mi karibia deile niko huko mbona!
 

For that note Kenya will never be safe if individuals are possessing the fire sticks.
 


very good idea...time has come for them kusuluhishana.
 
Yakiisha yatarud yazanzibar kudai nchi yao

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Hili povu zito sana. Ni kichaa pekee anaweza toa povu zito hivi.

Mgambo wa al shabab mmewashinda wakati wanatumia marungu, sime na manati. Sasa ujitutumue kwa Jeshi pendwa la Wananchi wa Tanzania. Iliwanyoosha M23, waliopindua Comoros, Waliopindua Seychelles, Nduli dadaa Idd Amin kwa muda mfupi sana.

Acheni mbwembwe nyingi.
 
Povuuu[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my HTC Desire 816 dual sim using JamiiForums mobile app
 
Tunampa Nyanza Museveni. ..kuna kila dalili watachapana! Uhuruto wanagomea maamuzi ya mahakama

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Kijiji cha Kibiti..
 

Kwa chuki inayojengeka hapa, ya Kenya yanakuja hapa, matter of time

Sent from my HUAWEI G730-U10 using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu itabidi upakkiwe tu kwenye fuso uendeke huko hata kama ni nyumbani ili utoe na mmresho wa kuishi huko alafu wakenya ndio wagauwe..sawa!

Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app
Aisee ngoja ninywe maji kwanza nitarudi kusoma.
 
Wao sababu ni ukabila na sisi siku tukigombana watuwekee buffer zone ya ccm na upinzani?
 
Cha msingi majirani zetu lazima wajue kwamba "KUNA MAISHA BAADA YA UCHAGUZI" na hilo kila mtu lazima ashike bango/apaze sauti kama ni kwenye mitandao ya kijamii hiyo ndo iwe hashtag yao. [HASHTAG]#MajiraniKunaMaishaBaadaYaUchaguzi[/HASHTAG].
 
Nchi gani walionyoshana hawana dharau? Mbona Somalia ndio ovyo ovyo mpaka mwisho?
Congo ndio usiseme.
Nchi gani sasa nitajie.
Yule mbwa aliewaita wapumbavu ni kwakua tu anaishi ktk ya maiti watembeao ila siku yao ipo yule mbwa atakionq

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…