Wakenya wakifanikiwa kwenye maandamano yao basi watatuona Watanzania wajinga sana kwenye nchi yetu

Wakenya wakifanikiwa kwenye maandamano yao basi watatuona Watanzania wajinga sana kwenye nchi yetu

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Wakenya wanazidi kupaa kwenye vyombo vya habari kimataifa njinsi walivopinga kuhusu ongezeko la ushuru(tax) na matokeo yanaweza kuwa mazuri.

Wenzetu wana umoja sana hakuna uchawa wa kusifia sijui shangazi wa mbagara matitu.

Huku kwetu tulishatishiwa tukimbilie Burundi au kuwaishwa fasta kabla ya mkeka wa mtoa roho ujatoka.

Hivi kwa mifumuko ya bei na uchumi kukandamizwa na makodi bodo tuna imili ili.
 
Unaota wewe,wabunge wameshapitisha finance Bill kitambo saizi ni Ruto kusiani tuu.

Wewe ndio mjinga ambae hujui maisha Yako unategemea jirani
 
Wabongo wako bize na kina mondi,konde,mwijaku babalevel
Dotto magari mandonga misomisondo tu
Simba yanga na umbea udaku tu
Hayo ndiyo mambo ya msingi wanayofatilia

Ova
 
Wabongo wako bize na kina mondi,konde,mwijaku babalevel
Dotto magari mandonga misomisondo tu
Simba yanga na umbea udaku tu
Hayo ndiyo mambo ya msingi wanayofatilia

Ova

Kwani watanzania ni nani ndugu?

Kwamba na wewe umo humo?

Kulikoni kujidhalilisha mwenyewe?

Kwamba hata wewe la maana la kufanya huna?
 
Wakenya wanazidi kupaa kwenye vyombo vya habari kimataifa njinsi walivopinga kuhusu ongezeko la ushuru(tax) na matokeo yanaweza kuwa mazuri.

Wenzetu wana umoja sana hakuna uchawa wa kusifia sijui shangazi wa mbagara matitu.

Huku kwetu tulishatishiwa twukimbilie burundi au kuwaishwa fasta kabla ya mkeka wa mtoa roho ujatoka.

Hivi kwa mifumuko ya bei na uchumi kukandamizwa na makodi bodo tuna imili ili.
CCM ndio wachawi wakubwa wa watanzania
 
Unaota wewe,wabunge wameshapitisha finance Bill kitambo saizi ni Ruto kusiani tuu.

Wewe ndio mjinga ambae hujui maisha Yako unategemea jirani
Issue hii inamgusa na kumsumbua Sana Ruto,,,,Sina hakika kama atakubali i-saini aiseeeee
 
Issue hii inamgusa na kumsumbua Sana Ruto,,,,Sina hakika kama atakubali i-saini aiseeeee
Asiposaini Nchi ita default 😁😁

Ikifikia Hali hiyo ngoma inaanza upya 😂😂

Unakumbuka kilichoikumba Ugiriki huko Ulaya?

Kwa Africa ni Zambia,Ghana na Ethiopia
 
Wakenya ni wapuuzi tu hawajielewi, sisi watanzania huwezi tukuta kwenye upuuzi kama ule.
Hao mnawasifia wana katiba nzuri ya mfano ila kila siku wapo barabarani nchi inaweza isitawalike uko mbelen
 
Wakenya ni wapuuzi tu hawajielewi, sisi watanzania huwezi tukuta kwenye upuuzi kama ule.
Hao mnawasifia wana katiba nzuri ya mfano ila kila siku wapo barabarani nchi inaweza isitawalike uko mbelen
WEWE UTAKUWA UNAISHI KWA DADA YAKO.
 
Wabongo wako bize na kina mondi,konde,mwijaku babalevel
Dotto magari mandonga misomisondo tu
Simba yanga na umbea udaku tu
Hayo ndiyo mambo ya msingi wanayofatilia

Ova
Mtu akiwa busy na Diamond au Yanga inakuzuia nini wewe uliye busy na chadema kuingia mtaani?
Maandamano ni ruksa ingia mtaani acha kujificha kwenye mgongo wa wengine
 
Mtu akiwa busy na Diamond au Yanga inakuzuia nini wewe uliye busy na chadema kuingia mtaani?
Maandamano ni ruksa ingia mtaani acha kujificha kwenye mgongo wa wengine
Shg 🌈 wenu noely mzima
Nasikia anawatupia pamba

Ova
 
Wakenya ni wapuuzi tu hawajielewi, sisi watanzania huwezi tukuta kwenye upuuzi kama ule.
Hao mnawasifia wana katiba nzuri ya mfano ila kila siku wapo barabarani nchi inaweza isitawalike uko mbelen
kwanza hawaandamani kila saa, ndio wana moja ya katiba bora east africa, why? Ina separation of power. Si rahis kuwa overriden na chama, pili upatakinaji wa viongozi.

Kuwndamana hakumaanishi wana katiba mbaya, ni ishara ya wananchi wanao jitambua, wana hold serikali kuwa responsible. Si wananchi wa YEs man
 
kwanza hawaandamani kila saa, ndio wana moja ya katiba bora east africa, why? Ina separation of power. Si rahis kuwa overriden na chama, pili upatakinaji wa viongozi.

Kuwndamana hakumaanishi wana katiba mbaya, ni ishara ya wananchi wanao jitambua, wana hold serikali kuwa responsible. Si wananchi wa YEs man
Upuuzi mtupu hiyo katiba imewaletea nini na wanalia njaa kila siku?

Wangekuwa wanajitambua wangetafuta solution ya kweli sio kujichosha barabarani. Ukabila unawasumbua
 
Upuuzi mtupu hiyo katiba imewaletea nini na wanalia njaa kila siku?

Wangekuwa wanajitambua wangetafuta solution ya kweli sio kujichosha barabarani. Ukabila unawasumbua
Una uhakika hawajatafuta solution?

Bunge wamekaa wameona waje na sera hiyo, umeshawahi kuisoma hiyo sera?
Inaenda kuongeza gharama za maisha mara dufu, kwa hiyo wananchi wakae ndani tu ?

Kwenye hiyo sera viongozi hawatopata shida, ila wananchi itawa cost. Na wao ndio wapiga kura

Ulaya na advancement walizonazo bado watu wanaandamana serikali inapozingua, inamaana ni wajinga?
 
Una uhakika hawajatafuta solution?

Bunge wamekaa wameona waje na sera hiyo, umeshawahi kuisoma hiyo sera?
Inaenda kuongeza gharama za maisha mara dufu, kwa hiyo wananchi wakae ndani tu ?

Kwenye hiyo sera viongozi hawatopata shida, ila wananchi itawa cost. Na wao ndio wapiga kura

Ulaya na advancement walizonazo bado watu wanaandamana serikali inapozingua, inamaana ni wajinga?
Hakuna jipya Kenya wanatafuta visibility tu kwenye mitandao.
Kila walichodai wamepata ila maisha yanazidi kuwa magumu.
 
Back
Top Bottom