joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kiingereza noma bro ππππWhy Kenya is Miles Ahead of Tanzania in the Fight Against Coronavirus
Hii ndio hali ilipofikia kwa jirani wetu, kwamba lazima wajaribu kujiliwaza hata Kama kwake mambo yanaharibika. Japo Kenya idadi ya maambukizi ni zaidi ya mara mbili ya Tanzania, lakini kutokana na tabia ya kujisifu, kwao wanadhani wao bado wapo vizuri ktk kupambana na kusambaa kwa Corona kuliko Tanzania.
Tabia ya kujimwambafy ndio sababu kubwa kunaifanya Kenya kushindwa kujifunza toka kwa anayofanya vizuri, hivyo kuifanya Kenya kuzidi kurudi nyuma kila mwaka.
cc. Tony254
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwanini Uhuru hamsikilizi Ndii? Unajua vitu anavyofanya ni vya ajabuajabu ukiingia internet watu wanalalamika kutokuwapo maji na sanitizer! sasa kama mpaka sasa hajaunda taskforce ni hatari aisee!Uhuru, Get Your Act Together - David Ndii in Hard-Hitting Letter
Wakati baadhi ya Wakenya wakisifia hatua zilizochukuliwa na serikali yao kwamba ni bora, wenye akili wazipinga na kuonyesha njia jinsi ya kupambana na Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mgelimsikiliza zitto hamgelikurupuka kufanya vitu vya ajabu ajabuHivi kwanini Uhuru hamsikilizi Ndii? Unajua vitu anavyofanya ni vya ajabuajabu ukiingia internet watu wanalalamika kutokuwapo maji na sanitizer! sasa kama mpaka sasa hajaunda taskforce ni hatari aisee!
Vitu gani vya ajabu ajabu? Mmepatia Maji Kibera? Au Google Ballons loon 4G ni muhimu zaidi? Italy Spain na Ujerumani wenye intenet kila mahali imezuia vp COVID-19?Mgelimsikiliza zitto hamgelikurupuka kufanya vitu vya ajabu ajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya uwezo wao wa akili ni mdogo Sana, Ndii hawawezi kumuelewa amewazidi Sana, si unaona mwenyewe jinsi wakenya wanavyojibu hoja hapa JF, hiyo inakupa picha halisi ya nchi ya Kenya ilivyo yote, wana very low IQ hawa watu.Hivi kwanini Uhuru hamsikilizi Ndii? Unajua vitu anavyofanya ni vya ajabuajabu ukiingia internet watu wanalalamika kutokuwapo maji na sanitizer! sasa kama mpaka sasa hajaunda taskforce ni hatari aisee!
Rudia kusoma comment yangu, labda unaeza ukaelewaVitu gani vya ajabu ajabu? Mmepatia Maji Kibera? Au Google Ballons loon 4G ni muhimu zaidi? Italy Spain na Ujerumani wenye intenet kila mahali imezuia vp COVID-19?
Uhuru, Get Your Act Together - David Ndii in Hard-Hitting Letter
Wakati baadhi ya Wakenya wakisifia hatua zilizochukuliwa na serikali yao kwamba ni bora, wenye akili wazipinga na kuonyesha njia jinsi ya kupambana na Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
cc. Geza UloleAlafu hio link ulio ileta ni summary haina content yeyote, nitakusaidia kwa ku post original article ya Ndii, enda ukaisome vizuri
Open Letter to President Uhuru Kenyatta
Hapo amesema sababu kuu ya Germany kutokua na vifo vingi licha ya wao kua na kesi nyingi za corona ni kua Germany wako na ICU beds nyingi kushinda Italy na France...
Ukiangalia takwimu za vifo, Ni kweli kwamba Germany iko na vifo vichache licha ya kua na kesi nyingi za corona kuliko nchi kama France na Italy.
View attachment 1399338
Lakini ukitafuta hizo data za ICU per 100,000
View attachment 1399340
USA iko na vitanda vingi vya wagonjwa mahututi kuliko nchi yoyot ile lakini tayari wengi wamekufa kuliko Germany, Alafu ukiangalia hapo Italy ni ya tatu duniani kwa kuwa na vitanda vingi vya ICU mbona wamekufa wengi zaidi ya nchi nyengine duniani? na vipi China ambao wako nyuma ya Italy na Spain kwa vitanda, mbona wameweza ku contain usambazaji na vifo???
David Ndii aliangalia na akachagua kutumia huo mfano wa Germerny na Italy maksudi kwasababu ulikua unaendana na hoja yake ambayo alikua anataka kuonyesha kwamba Kenya haina vitanda vya kutosha kwa wagonjwa mahututi. Hii ndo maana hua napenda kuambia watu mkisoma taarifa zengine hata ziwe zimeandikwa na nani, soma kisha ufikirie mwenyewe (think for yourself! mungu alikupa akili), kama mtu ametaja kitu flani chunguza kivyako kama ni kweli, usikue una download habari tu na kuamini kila kitu kwasababu alie andika ni mtaalam, unaweza kua manipulated hadi ukaamua kuua kakako kwasababu mtaalam alisema hivyo ndo sawa kulingana na takwimu zake.
Na saa zengine uache kuwashwa na pilipili usio ila, David Ndii alikua anakashifu Kenya.... sasa wewe unacheka kwasababu anakashifu uongozi na serekali ya Kenya kana kwamba hali ni shwari Tanzania....... Mimi hua nawaambia kila siku, Tanzania hamna wanahabari, hamna watu jasiri walio na akili ya kuchunguza na kuuliza maswalimuhimu kwa serekali ya siku mumeachia hio kazi kwa viongozi wa upinzani, wanasiasa ambao wako na malengo yao.
Tanzania iko na ICU kidogo kuliko Kenya.
Tanzania iko na hospital beds kidogo kuliko Kenya..
Lakini hautaona mwanahabari yeyote huko TZ ana thubutu kuuliza maswali muhimu kama hayo ambayo Ndii anauliza , kazi yao ni kuripoti ni yepi ambayo magu ametamka leo.
Uzi unazungumzia Kenya ila wajinga wa kikunya wameanza kujilinganisha na nchi zingine badala wajadili kilichomo πππcc. Geza Ulole
Njoo soma uone ni jinsi gani David Ndii alivyowapita kwa mbali Sana hawa jamaa. Soma jinsi Ndii alivyotoa ushauri mzuri wa namna ya kuunda kamati mbali mbali za kitaifa kama alivyounda Magufuli jana, na ulinganishe na huyu chizi anayezungumzi ICU, mara vitanda vya wagonjwa, mara idadi ya Hospitali, mara Ndii anatukana serikali ya Kenya. Hawawezi kumuelewa Ndii hata siku moja hawa, very low IQ.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawapati usingizi kwa kujilinganisha na TanzaniaUzi unazungumzia Kenya ila wajinga wa kikunya wameanza kujilinganisha na nchi zingine badala wajadili kilichomo [emoji23][emoji23][emoji23]
Low thinking capacities haifai.
Wako na akili fupi mnoo.
Why Kenya is Miles Ahead of Tanzania in the Fight Against Coronavirus
Hii ndio hali ilipofikia kwa jirani wetu, kwamba lazima wajaribu kujiliwaza hata Kama kwake mambo yanaharibika. Japo Kenya idadi ya maambukizi ni zaidi ya mara mbili ya Tanzania, lakini kutokana na tabia ya kujisifu, kwao wanadhani wao bado wapo vizuri ktk kupambana na kusambaa kwa Corona kuliko Tanzania.
Tabia ya kujimwambafy ndio sababu kubwa kunaifanya Kenya kushindwa kujifunza toka kwa anayofanya vizuri, hivyo kuifanya Kenya kuzidi kurudi nyuma kila mwaka.
cc. Tony254
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi IQ ya nyani ni ngapiWakenya uwezo wao wa akili ni mdogo Sana, Ndii hawawezi kumuelewa amewazidi Sana, si unaona mwenyewe jinsi wakenya wanavyojibu hoja hapa JF, hiyo inakupa picha halisi ya nchi ya Kenya ilivyo yote, wana very low IQ hawa watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania tunataka kujua IQ ya nyani ni ngapiAlafu utawisikia wakisema, wakiwa wamebana pua, ooh tutaipiku Kenya ni muda tu. JNIA ndio baba lao, JKIA bado sana na KQ kwa ATCL lazima wataisoma namba. Eti na mahakama za Kenya ni upuuzi tu Tz ndio mwalimu wao, esigiara yetu sio kama yao flyover zetu ndio bab kubwa. Barabara zetu ni bora zaidi, tunaonewa na mabeberu. Mara sijui nyang'au hana demokrasia aje ajifunze kwa Jiwe bla bla bla bla bla. Kiswahili 'murefuuu' kama kawa.