Wakenya wakosa usingizi kwa kuwaza Tanzania

Wakenya wakosa usingizi kwa kuwaza Tanzania

Sisi hununua tani millioni sita kutoka Uganda, mkiamua kukosesha wakulima wenu faida kwa kutbania ni wakulima wenu ndo watateseka, sisi tutabeleka hela zetu kwa mwengine ambaye atatuuzia.. Money talks!
Lengo ni kukuonyesha kwamba, tunachakula cha ziada, hatuna shida ya chakula.

Jambo moja hamtaki kufikiria nje ya box ni kwamba, Tanzania hatuhitaji wala kutegemea soko la East Africa, ukiona tumeiza chakula katika nchi za EA, jua hiyo nchi imeomba tuwauzie, sisi soko letu hili hapa Tanzania’s bean exports feed 10 countries

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya wanatamani wangekuwa wa nne kwenye jedwali hii. Wanapenda sana kujifananisha na Waengereza. Kisa kisungu
Alafu hio link ulio ileta ni summary haina content yeyote, nitakusaidia kwa ku post original article ya Ndii, enda ukaisome vizuri
Open Letter to President Uhuru Kenyatta


Hapo amesema sababu kuu ya Germany kutokua na vifo vingi licha ya wao kua na kesi nyingi za corona ni kua Germany wako na ICU beds nyingi kushinda Italy na France...

Ukiangalia takwimu za vifo, Ni kweli kwamba Germany iko na vifo vichache licha ya kua na kesi nyingi za corona kuliko nchi kama France na Italy.

View attachment 1399338




Lakini ukitafuta hizo data za ICU per 100,000

View attachment 1399340



USA iko na vitanda vingi vya wagonjwa mahututi kuliko nchi yoyot ile lakini tayari wengi wamekufa kuliko Germany, Alafu ukiangalia hapo Italy ni ya tatu duniani kwa kuwa na vitanda vingi vya ICU mbona wamekufa wengi zaidi ya nchi nyengine duniani? na vipi China ambao wako nyuma ya Italy na Spain kwa vitanda, mbona wameweza ku contain usambazaji na vifo???

David Ndii aliangalia na akachagua kutumia huo mfano wa Germerny na Italy maksudi kwasababu ulikua unaendana na hoja yake ambayo alikua anataka kuonyesha kwamba Kenya haina vitanda vya kutosha kwa wagonjwa mahututi. Hii ndo maana hua napenda kuambia watu mkisoma taarifa zengine hata ziwe zimeandikwa na nani, soma kisha ufikirie mwenyewe (think for yourself! mungu alikupa akili), kama mtu ametaja kitu flani chunguza kivyako kama ni kweli, usikue una download habari tu na kuamini kila kitu kwasababu alie andika ni mtaalam, unaweza kua manipulated hadi ukaamua kuua kakako kwasababu mtaalam alisema hivyo ndo sawa kulingana na takwimu zake.


Na saa zengine uache kuwashwa na pilipili usio ila, David Ndii alikua anakashifu Kenya.... sasa wewe unacheka kwasababu anakashifu uongozi na serekali ya Kenya kana kwamba hali ni shwari Tanzania....... Mimi hua nawaambia kila siku, Tanzania hamna wanahabari, hamna watu jasiri walio na akili ya kuchunguza na kuuliza maswalimuhimu kwa serekali ya siku mumeachia hio kazi kwa viongozi wa upinzani, wanasiasa ambao wako na malengo yao.


Tanzania iko na ICU kidogo kuliko Kenya.
Tanzania iko na hospital beds kidogo kuliko Kenya..
Lakini hautaona mwanahabari yeyote huko TZ ana thubutu kuuliza maswali muhimu kama hayo ambayo Ndii anauliza , kazi yao ni kuripoti ni yepi ambayo magu ametamka leo.




------
Lakini kwa upande mwengine, na support hayo mawaidha ya Ndii ya kwamba Serekali ikabe matumizi na ifutilie mbali mipango kadhaa ya kiserekali ambayo si muhimu kwa sasa hadi serekali ibaki na angalau $1B ambazo zitatumika kwa economic stimulus program baada ya janga la corona kuisha ili kufidia wanabiashara na kufufua viwanda, ma kampuni na uchumi kwa jumla.Yani hizi $1B itakua ni pesa zinaenda kwa mikononi mwa watu na biashara ili warudi kwa hali ilio sawa baada ya kufilisishwa na matukio yanayofanyika sasa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The level ofor desperation from this Tangatanga fool !

#Akilizahandshake#
 
The level ofor desperation from this Tangatanga fool !

#Akilizahandshake#

I thought huwa una support wakenya kama hawa Geza kwavile huwa wanapenda kukashifu kila jambo linalotendwa na GoK, what happened, ama ni vile leo kataja Tanzania vibaya 😛😛
 
Lengo ni kukuonyesha kwamba, tunachakula cha ziada, hatuna shida ya chakula.

Jambo moja hamtaki kufikiria nje ya box ni kwamba, Tanzania hatuhitaji wala kutegemea soko la East Africa, ukiona tumeiza chakula katika nchi za EA, jua hiyo nchi imeomba tuwauzie, sisi soko letu hili hapa Tanzania’s bean exports feed 10 countries

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua kua Kenya ndo largest exporter wa legumes Africa? Legumes ni beans, peas, peanuts, french beans , clover, soya beans, tamarind...etc

1585405063731.png



1585405117722.png


OEC - Legumes (HS92: 0708) Product Trade, Exporters and Importers



Lakini kama nilivyokwambia hapo awali, biashara ya export ni biashara kati ya Mkulima, broker na mnunuzi.... mkulima atauzia yule anayelipa vizurii na atakayempelekea faida, haimaanishi eti mkiuzia watu nje ya nchi basi mmetosheleza soko la ndani......
Kwahivyo hata ulete ripoti gani, haitageuza wale walio na njaa Tanzania
 
Hivi unajua kua Kenya ndo largest exporter wa legumes Africa? Legumes ni beans, peas, peanuts, french beans , clover, soya beans, tamarind...etc

View attachment 1402170


View attachment 1402174

OEC - Legumes (HS92: 0708) Product Trade, Exporters and Importers



Lakini kama nilivyokwambia hapo awali, biashara ya export ni biashara kati ya Mkulima, broker na mnunuzi.... mkulima atauzia yule anayelipa vizurii na atakayempelekea faida, haimaanishi eti mkiuzia watu nje ya nchi basi mmetosheleza soko la ndani......
Kwahivyo hata ulete ripoti gani, haitageuza wale walio na njaa Tanzania
Hahahaha, kumbuka kwamba Kenya ilikua ni nchi ya pili duniani kuexport Tanzanite next to India wakati Tanzanite hupatikana Tanzania pekee?.

50% of your legumes comes from Tanzania, mnachokifanya ni kuyaweka katika mifuko midogo na kubandika brands za Kenya na Kupeleka nje ya nchi.

Si mnalalamika kwamba nchi yenu ni jangwa hamna ardhi ya kutosha ya kuzalisha chakula, vipi unataka kusema mnazalisha kwa wingi legumes kuliko Tanzania?, hiyo ardhi imepatikana wapi ghafla? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why Kenya is Miles Ahead of Tanzania in the Fight Against Coronavirus
Hii ndio hali ilipofikia kwa jirani wetu, kwamba lazima wajaribu kujiliwaza hata Kama kwake mambo yanaharibika. Japo Kenya idadi ya maambukizi ni zaidi ya mara mbili ya Tanzania, lakini kutokana na tabia ya kujisifu, kwao wanadhani wao bado wapo vizuri ktk kupambana na kusambaa kwa Corona kuliko Tanzania.

Tabia ya kujimwambafy ndio sababu kubwa kunaifanya Kenya kushindwa kujifunza toka kwa anayofanya vizuri, hivyo kuifanya Kenya kuzidi kurudi nyuma kila mwaka.

cc. Tony254

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijajua kwanini idadi ya wagonjwa kule Uganda na Kenya zinazidi kuongezeka lakini hapa Bongo namba ni ile ile 13.

Nina mashaka na takwimu za kibongo
 
Hahahaha, kumbuka kwamba Kenya ilikua ni nchi ya pili duniani kuexport Tanzanite next to India wakati Tanzanite hupatikana Tanzania pekee?.

50% of your legumes comes from Tanzania, mnachokifanya ni kuyaweka katika mifuko midogo na kubandika brands za Kenya na Kupeleka nje ya nchi.

Si mnalalamika kwamba nchi yenu ni jangwa hamna ardhi ya kutosha ya kuzalisha chakula, vipi unataka kusema mnazalisha kwa wingi legumes kuliko Tanzania?, hiyo ardhi imepatikana wapi ghafla? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Huku Kenya najua wakulima ambao huuza vitunguu na Tomatoe kwa kampuni zinazo peleka Europe alafu supplier hao hao hununua tomatoe na vitunguu kutoka TZ na kuwauzia wakenya..... Hio yote ni biashara kama vile nilivyokwambia hapo awali...... wakulima huuzia yule mtu anae lipa pesa nyingi...

Tofauti kati ya Tz na Kenya kwa watu maskini ni kwamba Tanzania kuna maskini wengine ambao hawana uwezo wa kunua chakula, lakini kwasababu wako na shamba na mvua inanyesha, wanaweza kupanda mahindi, mihogo, mboga au kufuga mbuzi, ngombe na wakapata lishe kutoka hapo.....
Lakini kwa Kenya, kwavile mashamba yenye rotuba ni kidogo na karibia 70% ya ardhi ni jangwa,unakuta mahali kama Wajir au Turkana maskini ambae hana uwezo wa kununua chakula hawezi hata kupanda chochote, hata akichimba kisima cha maji kina kauka.

Kwahivyo hata kama leo hii tutang'oa miti ya kahawa, chai, maua na tupande vyakula kama mahindi na tuzalishe chakula kitakacho tosheleza kenya, yule maskini wa Turkana bado atakua hana uwezo wa kununua hicho chakula na atabaki kulala njaa, hii ndio maana nimekwambia hata unionyeshe mara ngapi kwamba TZ inazalisha chakula kingi, bado haiwez kufuta ile ripoti ya World bank niliokuletea ambayo inaonyesha TZ iko na watu wengi walio na njaa
 
Back
Top Bottom