Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba umemzidi mpaka Zuchu, unajua jamaa analala wapi sio mchezoBora huyu wa kenya kajenga ghorofa,ila huyu wetu domo anaona madale kamaliza,eti anakaa nyumba moja na mama yake
mmoja anabadilisha baba wakambo ,mwingine anabadilisha wakamwanaBora huyu wa kenya kajenga ghorofa,ila huyu wetu domo anaona madale kamaliza,eti anakaa nyumba moja na mama yake
A classmate..Who's this guy...🤔
Sema tz wanaume tumebaki wachachemmoja anabadilisha baba wakambo ,mwingine anabadilisha wakamwana
Ndiyo nani huyo,, wengine sisi washabiki wa mambo ya mbugani na misitu.Jamaa kajipinda kuhakikisha anakuwa na mansion ya Kweli na Bi.mkubwa anajisikia faraja na mashabiki kufurahia matunda yake. Lakini imekuwa negative kwa mashabiki wake.
View attachment 3149685View attachment 3149688
Tuma ya kwako uliyojenga tulinganishesema jamaa naye mshamba, unaweza kuwa na pesa lakini haujui kuenjoy, sasa hiyo ni nyumba ya kuishi familia au godown/ frame za shopping mall? Nyumba haina mandhari ya familia kabisa
Simple and lovely, home is not a house.Tuma ya kwako uliyojenga tulinganishe
Nyumba yako umeitoa google, ukiambiwq utume picha ya gari je
Anawekeza kwenye magariBora huyu wa kenya kajenga ghorofa,ila huyu wetu domo anaona madale kamaliza,eti anakaa nyumba moja na mama yake
jamani watu[emoji28], sasa ndo wanaedit na kueka mall brand shops na kiduka hapo kama cha mpesa[emoji28] mbona ni pazuri tu, wivu tuJamaa kajipinda kuhakikisha anakuwa na mansion ya Kweli na Bi.mkubwa anajisikia faraja na mashabiki kufurahia matunda yake. Lakini imekuwa negative kwa mashabiki wake.
View attachment 3149685View attachment 3149688