magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Duh kwa hiyo ukiolewa naye hutaki kukaa na Mama mkwe? Namna gani Kamanda!Bora huyu wa kenya kajenga ghorofa,ila huyu wetu domo anaona madale kamaliza,eti anakaa nyumba moja na mama yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kwa hiyo ukiolewa naye hutaki kukaa na Mama mkwe? Namna gani Kamanda!Bora huyu wa kenya kajenga ghorofa,ila huyu wetu domo anaona madale kamaliza,eti anakaa nyumba moja na mama yake
Siku ukigundua purpose ya maisha hautaumiza kichwa na ya wengine. Kiufupi kama muundo wa hiyo nyumba alioutaka, aliupenda na anaufurahia basi ndio Furaha yake hiyo.sema jamaa naye mshamba, unaweza kuwa na pesa lakini haujui kuenjoy, sasa hiyo ni nyumba ya kuishi familia au godown/ frame za shopping mall? Nyumba haina mandhari ya familia kabisa