Wakenya walivyo edit mjengo wa Khaligraph na kuonekana kama Mall

haters atleast kwa mpambanaji yeyote hizi ndo sifa unazotakiwa pata maaana life was never easy at all
 
sema jamaa naye mshamba, unaweza kuwa na pesa lakini haujui kuenjoy, sasa hiyo ni nyumba ya kuishi familia au godown/ frame za shopping mall? Nyumba haina mandhari ya familia kabisa
Tuma ya kwako uliyojenga tulinganishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…