Wakenya wamevurugwa

Wakenya wamevurugwa

GeoMex

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
5,431
Reaction score
19,913
Wakenya bwana😂😂. Polisi wamekamata mama na mwanae wa kike wakiwa na Sniper Riffle, Uzi sub machine gun, bastola na risasi kadhaa wakiwa katika uwanja wa mbio za Farasi huko Dagoreti, Nairobi

Maza sijui ni kucheza game za GTA kwa sana alitaka a practise in real life au vipi😂😂😂😂😂

Screenshot_20210415-130709.png
Screenshot_20210415-130723.png
Screenshot_20210415-124127.png
Screenshot_20210415-124113.png
 
wabongo mnashida aisee! nani ka kwambia racecourse estate ni uwanja wa mbio za farasi??
Google Translator
.hatujui kizungu huku

Usifanye kila kitu serious mkuu. Makasiriko yatatengeneza sumu mwilini😂😂
 
Back
Top Bottom