Wakenya wamiminika Tanzania kumuaga Magufuli, walia kwa uchungu sana, wamfananisha na mfalme Solomon

Nabii siku zote hakubaliki nyumbani...kwa Mfano tu lakini Yesu anaabudiwa karibu duniani kote ila Jews hawakumuanini na hawamuamini...
Waswahili wanamsemo alieshiba hajui mwenye njaa anataka nn...ss tulishashiba na Magufuli ila inchi jirani zilikua na njaa nae na ndio maana sifa zake kwa mataifa ya inje ni kubwa sana.
All in all tutamkumbuka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…