Wakenya wamiminika Tanzania kumuaga Magufuli, walia kwa uchungu sana, wamfananisha na mfalme Solomon

Wakenya wamiminika Tanzania kumuaga Magufuli, walia kwa uchungu sana, wamfananisha na mfalme Solomon

Mbona namwona mkenya mmoja tu? Huyo mmoja ndiye wasema ya kwamba wakenya wamemiminika tz kumsindikiza jpm?

Kuwa serious wewe
Ulitaka wakenya wote waliohudhuria waonyeshwe na kuhojiwa kwenye TV?, hiyo ni akili au tope?
 
Sisi hatujuani wala kutajana kwa makabila yetu, huyo ni mkenya
Ona vile unafiki ulivyokujaa, hata aibu huna..
Mbna wazee wa kaskazini wanaporudi makwao msimu wa sikukuu huaga mnawataja kw majina gani km sio "wachaga"
 
Nipe tofauti kati ya huyu
speech.jpg
Hivi wangari masai nae aliondoka kwa covid?
 
Back
Top Bottom