Wakenya wamiminika Tanzania kumuaga Magufuli, walia kwa uchungu sana, wamfananisha na mfalme Solomon

Mbona namwona mkenya mmoja tu? Huyo mmoja ndiye wasema ya kwamba wakenya wamemiminika tz kumsindikiza jpm?

Kuwa serious wewe
Ulitaka wakenya wote waliohudhuria waonyeshwe na kuhojiwa kwenye TV?, hiyo ni akili au tope?
 
Sisi hatujuani wala kutajana kwa makabila yetu, huyo ni mkenya
Ona vile unafiki ulivyokujaa, hata aibu huna..
Mbna wazee wa kaskazini wanaporudi makwao msimu wa sikukuu huaga mnawataja kw majina gani km sio "wachaga"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…