Wakenya wanaamini sana katika ushirikina ila ni waoga sana wa ushirikina.

Wakenya wanaamini sana katika ushirikina ila ni waoga sana wa ushirikina.

kadoda11

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
21,453
Reaction score
20,746
wakenya wanapenda sana kutafuta mafanikio kwa njia za ushirikina ila ni waoga sana wa mambo ya ushirikina.

nataka niwasimulie kisa cha kweli kinachomuhusu rafiki yangu mmoja mkenya.ni kisa kilichotokea miaka mitatu iliyopita nikiwa naishi nairobi.

kilimtokea katika gorofa alilopanga pale roysambo....kulikuwa na mfululizo wa matukio kadhaa ya uhalifu ambapo wakora(wahalifu/wezi m/vibaka) walikuwa wanavunja milango au kufuli na kuingia ndani nyumba ili kuiba asset zote muhimu ikiwemo tv screen.

siku moja yule rafiki alikuja kwangu eneo la buruburu (buruu kama wanavyotamka wenyewe)....akanihadithia madhira wanayokumbana nayo wapangaji na wasiwasi waliokuwa nao kuhusu usalama wa asset zao.

nikamwambia dawa ni ndogo....wakenya ni waoga sana wa ushirikina na wanaamini sana uwepo wa nguvu za kichawi.

kila siku kwa siku tatu mfulizo awe anawasha udi (udi is an incense stick mostly used by arabs and some swahili people of the coast.....they believe its scented smoke can attract,awaken or remove jinn spirit).

awe anawasha udi na kuuweka katika dirisha ambalo lipo jirani na mlango wake ili ule moshi uweze kutoka nje na kusambaa mpaka nje kwenye stairs na corridor za jengo.

alifanya kama nilivyo mshauri,basi unaambiwa ghafla kuna watu pale gorofani wakaanza kumuogopa kwa kudhani yeye ni mkenya mchawi.

siku ya pili yake kuna vijana ambao walikuwa wamepanga chumba cha jirani na yeye,walihama ghafla kwa kumugopa yule jamaa.

baadae ikaja kugunduliwa wale vijana ndio waliokuwa wanaendesha zoezi la kuibia wapangaji wenzao katika lile jengo kwa kuvunja milango mida ya mchana ambapo wapangaji wengi wanakuwa makazini.

unaambiwa mlango wa kuingia kwake ulikuwa hauguswi.....vibaka walikuwa wanaogopa moshi wa udi wakiamini kwamba jamaa ni mchawi[emoji23] [emoji23]

NB:
ifahamike tu kwamba kiwango cha uhalifu wa kuvunja katika majumba ya watu(burglary),kwa Nairobi kipo juu sana.unaweza ukaondoka asubuhi ukiwa umeicha subule yako salama lakini ukarudi jioni usikute kitu sebuleni...wamesafisha kila kitu mpaka masofa.
tazama hii....[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
wakenya wanapenda sana kutafuta mafanikio kwa njia za ushirikina ila ni waoga sana wa mambo ya ushirikina.

nataka niwasimulie kisa cha kweli kinachomuhusu rafiki yangu mmoja mkenya.ni kisa kilichotokea miaka mitatu iliyopita nikiwa pale nairobi.

kilimtokea katika gorofa alilopanga pale roysambo....kulikuwa na mfululizo wa matukio kadhaa ya uhalifu ambapo wakora(wahalifu/wezi vibaka) walikiwa wanavunja milango au kufuli na kuingia ndani nyumba kuiba asset zote muhimu ikiwemo tv screen.

siku moja yule rafiki alikuja kwangu eneo la buruburu....akanihadithia madhira wanayokumbana nayo wapangaji na wasiwasi waliokuwa nao kuhusu usalama wa asset zake.

nikamwambia dawa ni ndogo....wakenya ni waoga sana wa ushirikina na wanaamini sana uwepo wa nguvu za kichawi.

kila siku kwa siku tatu mfulizo awe anawasha udi (udi is an incense stick mostly used by arabs and some swahili people of the coast.....believe its scented smoke can attract,awaken or remove jinn spirit).

awe anawasha udi na kuuweka katika dirisha ambalo lipo jirani na mlango ili ule moshi wake uweze kutoka nje na kusambaa mpaka nje kwenye stairs na corridor za jengo.

alifanya kama nilivyo mshauri,basi unaambiwa ghafla kuna watu pale gorofani wakaanza kumuogopa kwa kudhani yeye ni mkenya mchawi.

siku ya pili yake kuna vijana ambao walikuwa wamepanga chumba cha jirani na yeye,walihama ghafla kwa kumugopa yule jamaa.

baadae ikaja kugunduliwa wale vijana ndio waliokuwa wanaendesha zoezi la kuibia wapangaji wenzao katika lile jengo kwa kuvunja milango mida ya mchana ambapo wapangaji wengi wanakuwa makazini.

unaambiwa mlango wa kuingia kwake ulikuwa hauguswi.....vibaka walikuwa wanaogopa moshi wa udi.[emoji23] [emoji23]

NB:
ifahamike tu kwamba kiwango cha uhalifu wa kuvunja katika majumba ya watu(burglary),kwa Nairobi kipo juu sana.unaweza ukaondoka asubuhi ukiwa umeicha subule yako salama lakini ukarudi jioni usikute kitu sebuleni...wamesafisha kila kitu mpaka masofa.
tazama hii....[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]

hahahah waaaaaah
 
Huo wii ni another level. Yani jamaa atarudi jioni kuwatch news apate hakuna TV
yah...that's the real life of nairobi.....burglary incidents are very common.....ndio maana hessy hataki ujinga,ni copper tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
watch this video[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 

Attachments

tulia wewe.....shida yako nini?.....kuwa mpole.....mkiguswa kidogo lazima mlie.
Sasa ulivyo ona yule jamaa mmoja rafiki yako ndivyo unajumlisha waKenya wote kuwa ni wa shirikina? Kwetu Meru region an eneo la mlima Kenya sijawahi kuskia ama kuona mchawi, ushirikina nk.
 
Hehehe!! Kwani uwongo? Dawa ya wezi ipo Tanzania, hebu tazama hii video ya babu anavyoteseka na mfuko alioiba ambao umemkwama kichwani na hawezi akautua. Yaani wezi wa Kenya wakijua wewe Mtanzania wanakaa mbali nawe.



https://www.jamiiforums.com/attachm...5/?temp_hash=540a2c03809647f5f81f0d60afe81da2
hahahahaha...... Hiyo clip nilitumiwa kwa whatsApp....nilipoiona nikajikuta nacheka baada ya kumuonea huruma huyo mwizi.......kaiba kwenye duka la mpemba,kajipeleka yeye mwenyewe police station....mpemba sio mtu mzuri.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa ulivyo ona yule jamaa mmoja rafiki yako ndivyo unajumlisha waKenya wote kuwa ni wa shirikina? Kwetu Meru region an eneo la mlima Kenya sijawahi kuskia ama kuona mchawi, ushirikina nk.
haijalishi ni mkenya wa wapi....wakenya kwa ujumla wenu,mnapenda sana kufanya ushirikina hasa ule wa kutafuta utajiri.

ndio maana matapeli wengi wameweka mabango yao mjini nairobi wakijinasibu eti ni waganga toka tz ili wawapate wakenya wa kuwatapeli.

kitendo cha mabango ya waganga kuwa mengi Nairobi,ni indication kwamba wengi wenu mnaamini/mna-practice african black magic.
 
Vinara wa ushirikina na uchawi kwa Africa Mashariki na Kati ni Tanzania Kwa zaidi ya 65% ya waTZ wako hivyo !
 
hawa matepeli katika video hapa chini,laiti kama hili tukio lao la ku-stage lingefanikiwa bila kushtukiwa,wangeteneza pesa nyingi sana miongoni mwa wakenya.
 
Mkuu kadoda11 hawa jamaa wana sayansi ya kukamata wezi na wale wanaokwiba wake za watu.....
sasa sijui kwanini hawaisambazi kwa jirani zao. Hasa hiyo ya kumnasa mgoni, maana mke anauma ati...
ukikutana nao maeneo ya CBD pale nairobi,utawaona wamevaa makoti,suruali za vitambaa na viatu vya kupaka kiwi huku wakitembea kwa haraka kuwahi wanako enda,kumbe kwenye vilindi vya mioyo yao wamebeba siri kubwa za kushiriki katika makafara na ushirikina.

yaani mkenya akisikia kuna mganga anaweza akamfanya kuwa tajiri,anaweza akafanya chochote ili ndoto yake itimie.....achana kabisa na hawa watu.
 
1466a062ae2094c2c4794668d0c0cbb0.jpg
 
Kenya wakishajua unatembelea wachawi au una uhusiano nao watu wanakudharau sana, hawakuchukii, wanakudharau tu, tena live! Ndo maana unamuona Raila akisumbuka sana kama kuku mweusi aliyekatwa shingo!
 
Back
Top Bottom