Wakenya wanaichukia Serikali yao kuliko raia wa nchi yoyote hapa Africa kutokana na uongozi dhahifu

Wakenya wanaichukia Serikali yao kuliko raia wa nchi yoyote hapa Africa kutokana na uongozi dhahifu

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


MY TAKE; Hivi ni kitu gani kinachosababisha wakenya kushindwa kuingia barabarani na kumuondoa Uhuru Kenyatta kama walivyofanya Sudan kwa Omar Albashir?, kulalamika kwingi bila kuchukua hatua madhubuti hakutowasaidia, hao ni mafisi sio rahisi kuacha mzoga.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
We tia pua yako ukiona wanaponda alafu uone km yatakufikia ya wapi.

Manake watu kukosoa serekali kw nchi ambazo wananchi wake bado wana chachu ya maendeleo huaga n kawaida, km vile desturi yani..

Upande wa south ungeliskia mkulu anasema wanatumwa na mabeberu hao waje watuchafulie nchi yetu..kw sisi hku tumezoea na tunaona kawaida, nchi zilizoendelea tu wanakosoa mpka kesho sisi ndio tujidanganye eti tumeridhika km nyie mlivyolishwa pumba na marehemu.

Ndio manake kufikia sasa mawaziri waliokua wakimsifu wanajitoa mmoja mmoja
 
Waache unafiki waingie mtaani nachojua mimi Wakenya ni sympathizer wa their corrupt regime tena ni aina ya watu wanaweza chukia Rais wa nchi jirani kwavile tu he is carrying out his/her duties dilligently!

CC: Tony254
 
Ufungiwe ndani kisa curfews, lockdown za kijinga halafu uipende hiyo serikali!

Serikali imeruhusu police brutality kinoma halafu uipende hiyo serikali!

Serikali imeruhusu wazungu na wanasiasa kumiliki mashamba makubwa na yenye rutuba nzuri halafu uipende hiyo serikali!

Serikali imejaa ufisadi pamoja na rushwa halafu uipende hiyo serikali!

Serikali inachukua mikopo isiyo kuwa na kichwa wala mkia kila siku halafu hiyo mikopo inaishia mikononi mwa watu wachache ambao sio walengwa halafu unategemea wananchi waipende hiyo serikali!

Wanaishia kulalamika kule twitter na hakuna kitu watafanya...huku wengine wakiwa humu jamiiforums wakificha vichwa kwenye mchanga.
 
wanaichukia ama wanaikosoa? apo kuna tofauti kubwa..
 
wanaichukia ama wanaikosoa? apo kuna tofauti kubwa..
Jamaa kakwepa ulichouliza[emoji23]
Yani kapindisha mpka kasahau km kichwa cha uzi kaandika nini hku alichokileta yeye kinasema nini[emoji2960][emoji2960]

Yani mtu anaforce mpka anawehuka mwenyewe tu
 
Back
Top Bottom