Hujui Watanzania kwa chuki na wivu. Kunagenge linaitwa Chadema. Ninkarakana ya ShetaniMpaka sasa sijaelewa kwanini mnampiga vita huyu dogo, ni kweli ana mapungufu kama binadamu yeyote ila ni mpambanaji na ametoka mbali sana kwenye maisha duni kule Tandale, tumpeni support, tumpigie kura kama wana Afrika Mashariki.