Wakenya wanampambania Diamond mno kumsafisha bet

Mpaka sasa sijaelewa kwanini mnampiga vita huyu dogo, ni kweli ana mapungufu kama binadamu yeyote ila ni mpambanaji na ametoka mbali sana kwenye maisha duni kule Tandale, tumpeni support, tumpigie kura kama wana Afrika Mashariki.
Hujui Watanzania kwa chuki na wivu. Kunagenge linaitwa Chadema. Ninkarakana ya Shetani
 
Among dar slam ccm zezeta one paul makonda and guy right groups are the reason behind the petition.
One should not wonder words that will be thrown around i.e nyangau, beberu etc.
Geza ulale whats your take??
 
Sioni la maana hapa na kelele za chura. Kama unampigia kura poa, kama haupigi fresh maisha yanaendelea
 
Waache ujinga ,Mondi lazima awajibike na alipe gharama za kuwa sehemu ya Serikali ya uovu na utekeji
 
Mpaka sasa sijaelewa kwanini mnampiga vita huyu dogo, ni kweli ana mapungufu kama binadamu yeyote ila ni mpambanaji na ametoka mbali sana kwenye maisha duni kule Tandale, tumpeni support, tumpigie kura kama wana Afrika Mashariki.
Nani ambae sio mpambanaji? Eti huelewi kwani hujasoma sababu kwenye ile pertion?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…