Wakenya wanaoishi nje ya nchi hutuma trilioni 10 nchini kwao, Watanzania hutuma bilioni 700, tukifata ushauri wa Lowassa kuhusu elimu, tutafikia Kenya

Wakenya wanaoishi nje ya nchi hutuma trilioni 10 nchini kwao, Watanzania hutuma bilioni 700, tukifata ushauri wa Lowassa kuhusu elimu, tutafikia Kenya

Ccm ime-invest ktk ujinga. Jana nimemsikia kiongozi wao mmoja kipindi cha The Big Agenda starTv- pumba tupu-. Anaulizwa ccm ni jambo gani wanaloweza kusema wamefanikiwa sana ktk miaka 47, anasema ni kudumisha amani na utulivu. Hivi Kenya hakuna amani? Rwanda hakuna amani? Au nje ya afrika mashariki, Botswana, Egypt, Vietnam, mMalasya etc hakuna amani? Yaani ccm wanatuambia ili tuwe na amani lazima tuwe masikini. Sasa unaambiwa jirani yako tu Kenya diaspora wana-remit trillion 10 while wa kwako wana-remit trillion 0.7 unjitetea eti sisi tuna amani. Hii ni akili au tope?
amani itoke wapi huko ulipopataja? watumie ayo madola sasa warejeshe anani na kutokomeza ugaidi na bandits 🐒
watu hawana hata ardhi amani watapataje, unauza na kuwekeza kila kitu then unategemea uwe na Amani, ndezi kweli 🐒

Tz hakuna Tamaa ya fedha wala mali za diaspora, walete home wasilete ni uamuzi wako 🐒

hatuwezi kuwaruhusu wanenu wanauojifunza upuppet huko ng'ambo watuletee ukoloni mamboleo na kuvuruga Amani baadae...

Hilo haliwezekani kamanda 🐒

R.I.P. Laigwanan Comrade ENL
 

japo umenipiga mshononi, ila ukweli utabaki palepale

Capture.PNG
 
Tanzania imeshika Mkia pamoja na Burundi Kwa kupokea pesa(remittance ) Kiduchu sana zinazotokana na Wananchi wake waliko Nje ya Nchi (Diaspora).

Kwa wale msiofahamu remittance zinahesabika ni Kati ya vyanzo vya Fedha za kigeni kama Dola nk Kwa Nchi.Pia ni vyanzo vikuu vya kukuza uchumi Kwa njia ya uwekezaji na Utalii.

Sasa Kwa Tanzania kuwa ya Mwisho kiukweli inafedhehesha.Licha ya kuachana na ujamaa Kwa zaidi ya miaka 25 Sasa ila athari zake Bado ni kubwa sana kwenye fikra na mtizamo wa watu.

Ujamaa umesababisha Watanzania Kila kitu ni kulaumu na kulalamikia Serikali hata pale inapofungua fursa Bado watu wanataka wasukumwe au waoneshwe.

Aidha Bado taasisi za kiserikali zimekaa kiudhibiti na kukomoana badala ya kuwa wawezeshaji.Kupata passport Kwa Tanzania ni anasa maana Kuna vikwazo na urasimu isivyo kawaida.

Ukiangalia Nchi za wenzetu huko wanapigana Kufa kupona hawaogopi kifo kuhama na kwenda Nje ya Nchi ambako wanaamini wanaweza pata maisha Bora zaidi mfano Wasomali,Waethiopia,Wakenya , Nigerians nk ila huwezi sikia Mtanzania amekamatwa Nje ya Nchi kama mhamiaji haramu sana sana utawakita kwenye ugaidi usio na faidia kwao ,Taifa na familia.

Watanzania tufunguke maana fursa za Maisha zinapatikana mahala popote.Huwa naona matangazo ya scholarships kibao ila Wabongo hawajitokezi Kwa kiwango hicho kutokana na hofu zisizo na msingi.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C3QYv4pNXlw/?igsh=MWcyMWw0b2Q3Njk3cQ==

My Take
Ndugu zangu Wabongo tubadilike,Maisha Bora yanahitaji kuwa aggressive vinginevyo tutaishia kulaumu,kutegemea miujiza na maigizo ya Wanasiasa na watafuta fursa.

Tusiogope ushindani tukapambane,tusomeshe Watoto Wetu kupambana Duniani,tunazidiwa mbali sana na Majirani zetu kwenye nyanja mbalimbali na ndio maana tunaogopa free movements of trade and Labour.👇👇

View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1712116594938122403?t=leN8oacL4sBM9PdmHoZk9g&s=19

Hapa wanasiasa waliotoboa kimaisha kwa fedha za umma wakisikia dual citizenship wanachanganyikiwa kabisa. Siasa za kijamaa zilitufanya tuwe mazoba full.
 
Bongo naona wenye moyo wa kuzamia ni watoto wa uswazi, na mbaya zaidi wengi wanazamia South Africa kupata greener pastures lakini mwisho wa siku kutokana na kukosa professional background yoyote, hawawezi kuwa na impact kubwa sana

Professionals ni wachache sana wenye ndoto za kutoka nje kutokana na kukosa exposure, naamini kwa wakenya ni rahisi kuwa na ndugu diaspora kuliko bongo hivuo, inspiration ni rahisi kupata

Ila kwa sasa naona kuna agencies za vijana za kuwapa watu scholarships, labda baada ya muda tutaikubali hii culture
 
We umeshatuma kiasi gani kutoka ughaibuni?

Kama watu wapo hapahapa na wanapesa ila hawasaidiani, unatarajia waende ughaibuni ndo watume pesa nyumbani?

Watu wapo hapahapa na wanapesa angalia ni kiasi gani cha pesa kinaenda kijijini kwao kusupport maendeleo. Alafu unatarajia waende ughaibuni ndo watume pesa?

Kuna ndugu yupo Canada ila anatuma ela ya kusafisha mashamba yake tu.

Hatuna huo utamaduni
 
akili za kimatako hizi, India ndio inaongoza kupokea pesa nyingi za Diaspora wao, India ndio inaongoza Duniani, Vipi kuna Vita India? Hizi ndio akili wakina Makona wanapeda, akili za mavi

halipo la kujifinza kutoka India kabisaaaa🐒

India tumepeleka vijana wetu masomoni na wameuawa na wengine wamejeruhiwa vibaya sana ni sawa tu na Kenya, ubaguzi ni kiwango cha juu sana, ayo madola yanaweza kusaidia kurekebisha hiyo hali?🐒

None sense..


R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Ccm ime-invest ktk ujinga. Jana nimemsikia kiongozi wao mmoja kipindi cha The Big Agenda starTv- pumba tupu-. Anaulizwa ccm ni jambo gani wanaloweza kusema wamefanikiwa sana ktk miaka 47, anasema ni kudumisha amani na utulivu. Hivi Kenya hakuna amani? Rwanda hakuna amani? Au nje ya afrika mashariki, Botswana, Egypt, Vietnam, mMalasya etc hakuna amani? Yaani ccm wanatuambia ili tuwe na amani lazima tuwe masikini. Sasa unaambiwa jirani yako tu Kenya diaspora wana-remit trillion 10 while wa kwako wana-remit trillion 0.7 unjitetea eti sisi tuna amani. Hii ni akili au tope?
Wanajivunia huo ujinga kwasababu sio hali ya kawaida wao kuendelea kuwepo madarakani pamoja na ubovu walio nao.kwahiyo ukimya wa watanzania kwao ni mafanikio.wangekua kwenye nchi zenye wananchi serious wangeshafurushwa madarakani kitambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kakudanganya nani Tz kuna amani kuliko pengine duniani? Tz kuna utulivu amani hakuna kwa sbb haki hakuna
kungekua hakuna haki pasinge kua na Amani.
wew ugombane na girlfriend wako uje hapa ulalamike kwamba Tz hakuna haki wala amani hiyo si sawa.
hilo ni jambo binafsi tafuteni namna binafs mlitatue🐒

Tanzania itaendelea kuwekeza kwa kiasi kikubwa sana kwenye Amani na Utulivu. Na hatuta ona haya wala kusita kuchukua hatua kali sana kwa yeyote atakae jaribu kuichezea na kuhatarisha Amani nchini 🐒

hao diaspora waendelee na diaspora wao huko huko hatuna umuhimu na sanaa zaidi ya waTanzania wengine 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Unajua TZ kuna vitu tunavichukulia powa lakini vinatugharimu. Swala la watanzania kuchangia pato la taifa lipo wazi. tukiambiwa turuhusu uraia pacha, tunaona kama watakuja kuiondoa CCM madarakani. Tanzania inabidi ipambane vijana wake wajitafutie fursa huko nje. Leo mtu akiongelea swala la kutafuta maisha nje, mjadala unahamia kwenye changamoto na mambo mengine ya ujinga. hatuangalii ni faida zipi.

Tuamke, tutengeneze mazingira wezeshi vijana waingie kitaa huko kati wakatafute maisha. ukweli ni kwamba wakiwa nje, wata support familia zao, watawekeza nk. Hivi wewe unaweza kuwekeza hela unayoipata kwa jasho, kwenye nchi inayokuvizia? wakiona una passport ya US au kwingine...wao wanaona fursa ya dola 100 ya visa.

Ungetegemea hawa viongozi wenye uelewa watusaidie lakini wapi...wanalinda kibarua na maslahi ya watoto wao.

Ukweli siku zote ni kwamba Masikini ni fursa kwa wenye pesa, akili na madaraka!

Watanzania tubadilike!
Kwamba hawataki uraia pacha kwa kuwa CCM itaondolewa madarakani?
 
amani itoke wapi huko ulipopataja? watumie ayo madola sasa warejeshe anani na kutokomeza ugaidi na bandits [emoji205]
watu hawana hata ardhi amani watapataje, unauza na kuwekeza kila kitu then unategemea uwe na Amani, ndezi kweli [emoji205]

Tz hakuna Tamaa ya fedha wala mali za diaspora, walete home wasilete ni uamuzi wako [emoji205]

hatuwezi kuwaruhusu wanenu wanauojifunza upuppet huko ng'ambo watuletee ukoloni mamboleo na kuvuruga Amani baadae...

Hilo haliwezekani kamanda [emoji205]

R.I.P. Laigwanan Comrade ENL
Wewe akili zako ni ndogo.unafikiria hapa karibu tu ndo maana huna mawazo makubwa yakusaidia hii nchi miaka mingi ijayo.Unasahau kua utakufa na huna utakachokua umeisaidia nchi yako zaidi ya kua chawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo naona wenye moyo wa kuzamia ni watoto wa uswazi, na mbaya zaidi wengi wanazamia South Africa kupata greener pastures lakini mwisho wa siku kutokana na kukosa professional background yoyote, hawawezi kuwa na impact kubwa sana

Professionals ni wachache sana wenye ndoto za kutoka nje kutokana na kukosa exposure, naamini kwa wakenya ni rahisi kuwa na ndugu diaspora kuliko bongo hivuo, inspiration ni rahisi kupata

Ila kwa sasa naona kuna agencies za vijana za kuwapa watu scholarships, labda baada ya muda tutaikubali hii culture
ulichosema kuhusu professionals ukweli kabisa. kuna lijamaa nalijua aisee lile jamaa ni nondo mbaya mno very competent na savy kwenye mautafiti. alikataa kazi Ulaya kisa baridi
yupo bongo apa anadhulumiwa tu pesa projects na kuhangaishwa na serikali ya ccm. namuonaga mjinga sana.
wakati mwingine ananipiga mm mzinga mbeba tofali
 
Back
Top Bottom