Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Nimeona hio Documentary ya 60 Minutes; Kwa ufupi AI inahitaji kuwa trained ili iweze kugundua vitu kama picha, watu emotions n.k. Sasa Serikali ya Kenya imekuwa ikivutia makampuni kuja kuwekeza Kenya kwamba watu wana knowledge na labor ni cheap (kama walivyokuwa wanakwenda sana nchi kama India)
Sasa nimesikia hawa jamaa wanasema kwamba wananyonywa kwa kulipwa 2USD kwa saa sababu USA kazi kama hio mtu angelipwa 30usd..., na kuna mikataba imeonekana kampuni kubwa zote zinatumia middle man ndio afanye kuajiri sasa unakuta kampuni inalipwa 12 usd, na wao kulipa 2USD.., Je huu ni wizi au huenda nao wana costs zao za hapa na pale ?
Nadhani cha kujiuliza hio 2USD inaendana vipi na wengine wanalipwa ngapi katika mazingira yenu na sio nani analipwa ngapi nchi nyingine....
Nadhani watu inabidi tuelewe when it comes to Capitalism Kampuni ipo answerable kwa shareholders na ni profit at all costs..., na hata ukilipwa nyingi tambua hawawezi wakapata ndogo au wanaogopa bad publicity (if they can pay you less they will...,
It's the nature of the beast)...; Kwahio wasilaumu kampuni ambazo zipo pale kupunguza costs; bali watunga sera wao kwa kuwafanya kuwa desperate na kukosa ujira hivyo kufanya lolote kwa chochote.
View: https://youtu.be/qZS50KXjAX0?si=Aa02tUevll3cOe8q
Sasa nimesikia hawa jamaa wanasema kwamba wananyonywa kwa kulipwa 2USD kwa saa sababu USA kazi kama hio mtu angelipwa 30usd..., na kuna mikataba imeonekana kampuni kubwa zote zinatumia middle man ndio afanye kuajiri sasa unakuta kampuni inalipwa 12 usd, na wao kulipa 2USD.., Je huu ni wizi au huenda nao wana costs zao za hapa na pale ?
Nadhani cha kujiuliza hio 2USD inaendana vipi na wengine wanalipwa ngapi katika mazingira yenu na sio nani analipwa ngapi nchi nyingine....
Nadhani watu inabidi tuelewe when it comes to Capitalism Kampuni ipo answerable kwa shareholders na ni profit at all costs..., na hata ukilipwa nyingi tambua hawawezi wakapata ndogo au wanaogopa bad publicity (if they can pay you less they will...,
It's the nature of the beast)...; Kwahio wasilaumu kampuni ambazo zipo pale kupunguza costs; bali watunga sera wao kwa kuwafanya kuwa desperate na kukosa ujira hivyo kufanya lolote kwa chochote.
View: https://youtu.be/qZS50KXjAX0?si=Aa02tUevll3cOe8q