Wakenya wanazidi kunyooshwa na covid19

Prof. Mark Mwandosya kaandika hivi na amekiri pia yaliwahi kumkuta Mh. makamu wa rais >>>
Ushuhuda


unajua siku zote, kenge hasikii mpaka aone damu zikimtoka masikioni.


Korona ipo Bongoland lakini sio as much as it is in Kinyaaaaa land.
 
Nini kilichokufurahisha sasa? Mbona mnaleta ushabiki hata kwenye maisha ya watu. Hiyo heading ni ya kiwango cha hovyo sana.
 
Nini kilichokufurahisha sasa? Mbona mnaleta ushabiki hata kwenye maisha ya watu. Hiyo heading ni ya kiwango cha hovyo sana.

Hapo hakuna humanity first ni wickedness and brutality first.
 
Hapo hakuna humanity first ni wickedness and brutality first.
Sio sawa, kuna mambo mengi ya ku battle na wakenya lakini sio mambo haya. Imefika mahali tunachukuliana kama wadudu, tunashabikia na kushindana wapi wanakufa sana, seriously?
 
Mpaka AKILI ziwakae sawaa [emoji16].
Na inapiga kweli kweli.
 
Prof. Mark Mwandosya kaandika hivi na amekiri pia yaliwahi kumkuta Mh. makamu wa rais >>>
Ushuhuda


unajua siku zote, kenge hasikii mpaka aone damu zikimtoka masikioni.
Mwaka wa pili sasa Tanzania inaitreat corona as nothing na bado hatuoni massive deaths wala chochote zaidi ya maisha kusonga kama kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…