Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Ni kosa kumzuia mtu asijiue? 😳 Au nimesoma vibayaMi naona alikosea mrekodi tu ila kumzuia mtu asijiue ni kosa
Naona huyo DJ hakuwaza hilo. Kisasi cha huyo mtoto akikua, Mungu amsaidie kwa kweli.Mwisho wa siku dogo akikua ataja mnjinjilia mbali mshua wake.
Tech ni mbaya sana hii video na hizi habari dogo atazikuta tu akikua.
Akiunga dots, sijui hiyo familia itakuaje mbeleni..
Ni mwendo wa visasi na laana…Mwisho wa siku dogo akikua ataja mnjinjilia mbali mshua wake.
Tech ni mbaya sana hii video na hizi habari dogo atazikuta tu akikua.
Akiunga dots, sijui hiyo familia itakuaje mbeleni..