Wakenya washangazwa na lafudhi ya kiingereza cha Diamond

Wakenya washangazwa na lafudhi ya kiingereza cha Diamond

Na vidio yake iko poa sana kiba nampenda lakini sina namna[emoji22] [emoji22]
 
6668410e628c0acb26848d9315d855a7.jpg
2ae7f2d411a5ef9f681cab650b209842.jpg
Wakenya ndio akina nani mpaka ufungue Uzi?
Mambo ya fesibuku hayo unatuletea hapa ebooooooooo!
Ccm oyeeeeeeeeeeeh!
 
Nyi jamaa hua majinga sana
[QUOwamorris chilobe, post: 24774608, member: 461386"]Kinga ama kweli jamaa anasumbua watu ngoma ya mond ameiachia lakini anatajwa kiba tena ktk mazungumzo ya ngoma hyo[/QUOTE]
Wa Watu wana
 
Kinga ama kweli jamaa anasumbua watu ngoma ya mond ameiachia lakini anatajwa kiba tena ktk mazungumzo ya ngoma hyo
Sivyo hivyo kama udhaniavyo...hii ni katika kuendeleza tu utani wa jadi kati hawa mafahari wawili..dont panic!
 
Ila ishu za kubinulia mdomo pembeni ni za kishamba sana.
 
Back
Top Bottom