Wakenya washinikiza kuondolewa kwa masharti ya kuzuia corona

Wakenya washinikiza kuondolewa kwa masharti ya kuzuia corona

.

Screenshot_20210401-082901.png
 
View attachment 1740059
Baadhi ya makundi ya kijamii nchini Kenya yametishia kufanyamaandamano ya kupinga masharti ya kudhibiti maambukizi ya corona.
Wiki iliyopita Rais Uhuru Kenyatta alipiga marufuku usafiri wa kutoaka na kuingia majimbo matano yanayosadikiwa kuwa na viwango vya juu vya maambukizi ukiwemo mji Mkuu wa Nairobi, kukomesha ongezeko la maabukizi ya ugonjwa wa Covid-19.

View attachment 1740060

Baadhi ya wale ambao walifanya kazi katika hoteli, wanasema wana familia za kulisha lakini waajiri wao wamelazimika kufunga hoteli zaoImage caption: Baadhi ya wale ambao walifanya kazi katika hoteli, wanasema wana familia za kulisha lakini waajiri wao wamelazimika kufunga hoteli zao

View attachment 1740061


Rais Kenyatta pia alipiga marufuku uuzaji wa pombe katika maeneo yaliyowekewa masharti ya usafiri na kuagiza wenye migahawa kuuza vyakula vya kwenda navyo nyumbani.

Bunge la Mwananchi na Muungano wa wananchi wa Citizens Alliance unasema kuwa masharti hayo yanawaathiri wananchi wa kawaida , wakati shughuli za kisiasa zilichangia "kueneza" virusi.
Habari kama hizi humuoni MK254 ,nyie endeleni kukaa ndani na kuiga kunya kwa tembo.
 
KENYA.jpg


Baadhi ya Wananchi wa Kenya wameandamana kupinga hatua zinazochukuliwa kudhibiti maambukizi ya #COVID19 wakibeba mabango yenye jumbe mbalimbali huku wengine wakiandika kuwa “Njaa Pia ni Janga.”

Rais Uhuru Kenyatta alipiga marufuku usafiri wa kutoka na kuingia Majimbo Matano yanayosadikiwa kuwa na viwango vya juu vya maambukizi ikiwemo Nairobi.

Pia, Rais alipiga marufuku uuzaji wa pombe katika maeneo yaliyowekewa masharti ya usafiri na kuagiza wenye migahawa kuuza vyakula vya kwenda navyo nyumbani.

Bunge la Mwananchi na Muungano wa Wananchi vimesema masharti hayo yanawaathiri Wananchi wa kawaida kiuchumi kwa kuwa inaathiri shughuli zao za Kiuchumi.
*******

Hiyo nimeikopi huko

Hii issue ya cooona inatafakarisha sana! Ulishawahi jiuliza watz tungeambiwa tukae ndani ingekuwaje??? Sasa hivi hatukai, je una malalamiko? au unapenda tufungiwe?

Tanzania nchi nzuri sana na Mungu anatupenda.... nasi pia tupendane, tujilinde, tupambane na gonjwa bila shuruti, bila malalamiko!

Aaagh najiwazia tuu
 
Hii shilingi ina pande mbili, kuna wakati nikiangalia hali ya uchumi utakavyozorota natamani tuachiwe wakujifia ajifie kama ilivyo kule Tanzania ambapo umaskini wao umesababisha wameamua kujitoa mhanga hadi kirusi kimebeba mpaka ngazi ya juu ya uongozi, ila pia nikiwaza kinavyotesa kwanza gharama za ICU, dah! naona tu tuendelee kupambana tusijichokee kama majirani, uchumi tutaunyanyua tu, sisi ni wachapa kazi hodari na tunafahamika ukanda wote huu, hivyo suala la kuunyanyua uchumi haitotuchukua muda mrefu.
 
Wewe utakuwa unakula kwa wazazi wako na ndio maana unapayuka na kujitoa ufaham.Familia hizi za kimasikini unaweza ukakuta mtu mmoja analisha watu zaidi za kumi.Endapo akiteteleka kuanzia yy na wanao mtegemea lazima watereke.

Kaa ukijua njaa mbaya kuliko hiyo Corona,watu tokea mwaka jana mna majanga mara mafuriko,wakaja nzige then ukame alafu unajifanya kuwaiga wazungu ambao kiuchumi wapo vizuri.Kijana husi muige tembo kama PURU lako dogo utaumia.
Hii shilingi ina pande mbili, kuna wakati nikiagalia hali ya uchumi utakavyozorota natamani tuachiwe wakujifia ajifie kama ilivyo kule Tanzania ambapo umaskini wao umesababisha wameamua kujitoa mhanga hadi kirusi kimebeba mpaka ngazi ya juu ya uongozi, ila pia nikiwaza kinavyotesa kwanza gharama za ICU, dah! naona tu tuendelee kupambana tusijichokee kama majirani, uchumi tutaunyanyua tu, sisi ni wachapa kazi hodari na tunafahamika ukanda wote huu, hivyo suala la kuunyanyua uchumi haitotuchukua muda mrefu.
 
Hii shilingi ina pande mbili, kuna wakati nikiagalia hali ya uchumi utakavyozorota natamani tuachiwe wakujifia ajifie kama ilivyo kule Tanzania ambapo umaskini wao umesababisha wameamua kujitoa mhanga hadi kirusi kimebeba mpaka ngazi ya juu ya uongozi, ila pia nikiwaza kinavyotesa kwanza gharama za ICU, dah! naona tu tuendelee kupambana tusijichokee kama majirani, uchumi tutaunyanyua tu, sisi ni wachapa kazi hodari na tunafahamika ukanda wote huu, hivyo suala la kuunyanyua uchumi haitotuchukua muda mrefu.
You must be doing well financially to support these kind of shenanigans.
 
Hii shilingi ina pande mbili, kuna wakati nikiagalia hali ya uchumi utakavyozorota natamani tuachiwe wakujifia ajifie kama ilivyo kule Tanzania ambapo umaskini wao umesababisha wameamua kujitoa mhanga hadi kirusi kimebeba mpaka ngazi ya juu ya uongozi, ila pia nikiwaza kinavyotesa kwanza gharama za ICU, dah! naona tu tuendelee kupambana tusijichokee kama majirani, uchumi tutaunyanyua tu, sisi ni wachapa kazi hodari na tunafahamika ukanda wote huu, hivyo suala la kuunyanyua uchumi haitotuchukua muda mrefu.
Yani wewe ndio watu ambao Kenyata anajivunia kuwa nao sana hapo Kenya.

Yani ni ujinga
 
Hii shilingi ina pande mbili, kuna wakati nikiagalia hali ya uchumi utakavyozorota natamani tuachiwe wakujifia ajifie kama ilivyo kule Tanzania ambapo umaskini wao umesababisha wameamua kujitoa mhanga hadi kirusi kimebeba mpaka ngazi ya juu ya uongozi, ila pia nikiwaza kinavyotesa kwanza gharama za ICU, dah! naona tu tuendelee kupambana tusijichokee kama majirani, uchumi tutaunyanyua tu, sisi ni wachapa kazi hodari na tunafahamika ukanda wote huu, hivyo suala la kuunyanyua uchumi haitotuchukua muda mrefu.
Hapana.. death toll ni ndogo mno.. let people go out and work. Mtapigana muda sio mrefu.. and it will be worse that any other fujo mliyowahi kupitia.

Watu wakifikia stage ya kuamua itakavyokuwa na iwe.. there is not putting that gin back in the bottle. Fighting a person who has lost everything even hope.. is dangerous

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom