Wakenya washinikiza kuondolewa kwa masharti ya kuzuia corona

Hiyo namba moja tofauti na corona,,,corona ikikupata na una maradhi ya cancer, kisukari, pressure, moyo, HIV n.k ukimaliza wiki basi ni kudra zake Mungu.


Corona ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Kwa hiyo mpaka uwe na pre existing health issues. Vinginevyo si tishio. Lkn kipindupindu hata ukiwa baunsa inakushusha na kukulaza tu.
 
Wakenya waoga kufa kwa corona ili hali matukio mengi tofauti na 19 ynawachukua.Endeleeni kujifungia sisi tunaendelea kula bapa za nyagi na Bado hela tutakuja kuchukua kwenu ,njaa ikiwatoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…