View: https://youtu.be/MJapGEmItUY?si=-VeOmElPPZE7ppPd
Yani unaharibu mali za watu ,unachoma ndege ,unachoma ofisi za bunge ,nk Kwa sababu Kodi?
Kwa namna navyo waona si Dhani kama ni afya kuwa nao kama nchi Moja huko mbele kwenye maswala ya EAC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View: https://youtu.be/MJapGEmItUY?si=-VeOmElPPZE7ppPd
Yani unaharibu mali za watu ,unachoma ndege ,unachoma ofisi za bunge ,nk Kwa sababu Kodi?
Kwa namna navyo waona si Dhani kama ni afya kuwa nao kama nchi Moja huko mbele kwenye maswala ya EAC
Hao ni mashoga na wasagaji wanafadhiliwa na watu fulani.huwezi kuharibu nchi yako eti kwa sababu ya Kodi.Hapana aiseeUkiona mwenzako ananyolewa za kwako weka maji, vuguvugu ndo washafungua dimba.
Usiige ujinga wa hao wakenya aisee.maana siyo kwa akili ndogo kwa kiasi kile.Machawa wa ccm mmepagawa sana yaani na mziki wa Kenya
Msiogope jomba. Endeleeni kula raha tu kwa Tz bado sana
Wanaona kama Bunge lao la machawa linavamiwa keshoMachawa wa ccm mmepagawa sana yaani na mziki wa Kenya
Msiogope jomba. Endeleeni kula raha tu kwa Tz bado sana
View: https://youtu.be/MJapGEmItUY?si=-VeOmElPPZE7ppPd
Yani unaharibu mali za watu ,unachoma ndege ,unachoma ofisi za bunge ,nk Kwa sababu Kodi?
Kwa namna navyo waona si Dhani kama ni afya kuwa nao kama nchi Moja huko mbele kwenye maswala ya EAC
Atakuja Yule wa kizimkazi aanze kuponda suala la Katiba. Sisiemu ni matapeli wa kutupwa.Machawa mnajamba Jamba sana usiogope bhana kule ni Kenya hahahaha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View: https://youtu.be/MJapGEmItUY?si=-VeOmElPPZE7ppPd
Yani unaharibu mali za watu ,unachoma ndege ,unachoma ofisi za bunge ,nk Kwa sababu Kodi?
Kwa namna navyo waona si Dhani kama ni afya kuwa nao kama nchi Moja huko mbele kwenye maswala ya EAC