Wakenya watupa vijembe kwa Diamond. Wasema WASAFI FESTIVAL ilikuwa ya kipuuzi, Wajutia kuharibu pesa yao

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

'kwamba nianze kuimba wakati wewe ndo mwanamuziki '.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu wakenya wana-mind vibaya yani,wao wamezoea live show,sasa ndugu zetu wameenda kufanya show kama wanavyotufanyiaga huku bongo...
 
Tuweke ushabiki pembeni kwa faida ya muziki wetu ni lazima tubadilike, Live iwe kweli Live tuachane na playback. Ni lazima tubadilike sio kila jambo ni chuki ila ukweli ni kuwa tufanye live perfomance na hii itawaondoa wenyewe wasio kuwa wanamuziki wataondoka tu. wabaki wanamuziki wa kweli. Mimi binafsi sitoi pesa kuingia kwenda kusikiliza CD na kupiga kelele nataka nishangilie bila kuambiwa ni kama mpira mkicheza vizuri tutashangilia. shoo za playback kapige vijijini huko low cost lakini ukienda cities piga live music na band.
 
100% true studio anaweza kukaa siku nzima anaingiza sauti na hapo inachujwa na uhakika hata mimi nikiingia studio nitatoa ngoma hit ila ukiniambia imba live nitakimbia.
 
Mchicha mwiba yule .. kwani hamjui !? Hahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Big up, wewe unajuwa kanuni za muziki. Order chochote hapo ulipo nakuja kulipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…