Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Ndio mkuu wakenya wana-mind vibaya yani,wao wamezoea live show,sasa ndugu zetu wameenda kufanya show kama wanavyotufanyiaga huku bongo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
'kwamba nianze kuimba wakati wewe ndo mwanamuziki '.
Sent using Jamii Forums mobile app
100% true studio anaweza kukaa siku nzima anaingiza sauti na hapo inachujwa na uhakika hata mimi nikiingia studio nitatoa ngoma hit ila ukiniambia imba live nitakimbia.Unajua nowadays mziki uko fake sana. Studio ndo zinamaliza utamu wote.. ngoma nyingi mpaka za mbele zimebebwa na studios tu. Tofauti na akina Fugees na huko nyuma kabisa akina ABBA. So ukisema uimbe ngoma yako uloinogesha na Beats za producer mkali ukaiimba na Band eti ni hatari sana. Lazima uwe fundi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchicha mwiba yule .. kwani hamjui !? HahaaNimesikitishwa sana, sio kwa comments za wakenya bali kwa muwakilishi tunayemtegemea kwenye mziki kimataifa kufanya show mbovu,iliokosa maadili kama ile. Jamaa kafikia hatua anakatika jukwaani wanawake Wanamchezea matako!!
Personally ameniangusha sana.
Kweli anguko likianza kukunyemelea mambo yanaanza kuwa hovyo hovyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nguvu za kifreemasons huwa za mikataba, na ukishaisha mkataba wako nawe huna chako tena.
Tumwombe sana Mungu atusaidie kutafuta pesa kwa haki/uhalali wa jasho letu pekee wala si vinginevyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua nowadays mziki uko fake sana. Studio ndo zinamaliza utamu wote.. ngoma nyingi mpaka za mbele zimebebwa na studios tu. Tofauti na akina Fugees na huko nyuma kabisa akina ABBA. So ukisema uimbe ngoma yako uloinogesha na Beats za producer mkali ukaiimba na Band eti ni hatari sana. Lazima uwe fundi sana
Sent using Jamii Forums mobile app