Wakenya wauzwa kama watumwa, wenyewe wasema Kenya hali ya maisha ni mbaya.

Wakenya wauzwa kama watumwa, wenyewe wasema Kenya hali ya maisha ni mbaya.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Wakenya wanaendelea kuikimbia nchi yao kwa udi na uvumba ili kuepuka njaa nchini mwao, hivyo wengine kujikuta wakiuzwa kwa waarabu kama watumwa na kubakwa.

Kama tafiti zinavyoonyesha kwamba wakenya wanaongoza kwa kuichukia nchi yao na wengi kuamua kutumia kila jitihada kutoroka nchi yao. Wakati huo huo wageni na familia teule zikiendele kujitajirisha na kumiliki ardhi yoote yenye rutuba.
 
Uzuri na ubaya wa Kenya tajiri ni tajiri kweli na masikini ni masikini kweli na ndio 80% wako nyan’ganyan’ga, chali, kifo cha mende
Lakini walivyo wajinga, wanasifia matajiri wachache ambao hawafiki hata elfu kumi na kuwasahau hawa milioni 45 ambao wanateseka. Utasikia wakisema " Kenya yaongoza kwa matajiri ", hutosikia wakisema " Kenya yaongoza kwa kuuza watumwa".
 
Hawa Waarabu wana miroho mibaya ila hawaelewi wakiambiwa.
Waarabu sio watu hawa oohooooo!!!!
Unakubalije kubebwa kizembe namna hii hata huna uhakika uendako!!!?
Bullshit.


Wakenya wanaendelea kuikimbia nchi yao kwa udi na uvumba ili kuepuka njaa nchini mwao, hivyo wengine kujikuta wakiuzwa kwa waarabu kama watumwa na kubakwa.

Kama tafiti zinavyoonyesha kwamba wakenya wanaongoza kwa kuichukia nchi yao na wengi kuamua kutumia kila jitihada kutoroka nchi yao. Wakati huo huo wageni na familia teule zikiendele kujitajirisha na kumiliki ardhi yoote yenye rutuba.
 
Kaka Waarabu sio watu aisee.
Wafanyakazi wanaoenda kule sana snaa wanatumikishwa kazi ngumu na ukiwa na big butts wanakula tigo wale jamaa.
Dada zetu wengi wanawala tigo jamaa mafirauni wale.
MK254 na yule Tony254 wawe makini sana wasije wakauzwa kwa bwenyenye la kiarab wakatumikishwa
 
Hawa Waarabu wana miroho mibaya ila hawaelewi wakiambiwa.
Waarabu sio watu hawa oohooooo!!!!
Unakubalije kubebwa kizembe namna hii hata huna uhakika uendako!!!?
Bullshit.
Njaa na shida kaka, hivi umeshafika Kenya ukaona jinsi hali ya maisha ilivyo?, hakuna opportunities za ajira hasa kwa jamii za chini kama hizi za pwani, wakikuyu wameshikilia biashara, wanotoa ajira kwa wakikuyu wenzao tu. Serikali 85% ya mawaziri na makatibu wakuu ni wakikuyu na wakalenjin, wanaajiri kabila zao tu, haya makabila mengine hayana jinsi, zaidi ya kuwa slaves. Ni shida sana Kenya.
 
MK254 na yule Tony254 wawe makini sana wasije wakauzwa kwa bwenyenye la kiarab wakatumikishwa
Tony ni shoga linauza tako wa wazungu lenyewe linasema limejikwamua lipo ulaya labda huyu mk254 atakuwa mtumwa huko arabuni
 
Ukienda gulf, wafanyakazi wote wa ndani wa kiafrika 90% ni wakenya na inayobaki ni waghana, ukiangalia video za wasanii YouTube ukakutana na comment, oooh sijui am a Kenyan watching from Dubai and bla bla jua huyo beki 3 wa muarabu kaiba simu ya boss wake

Wanachapika ile mbaya huko, kuna mdada mmoja wa kikenya aliunguzwa mwili mzima na boss wake wa kiarabu kwa moto, karudi maiti, mwenyeji wa Mijikenda lakini bado hawakomi kwenda.
 
Hii ni kweli kabisa wengi wanapenda kwenda kufanya kazi gulf,
Pamoja na kuteswa huwa hawakomi.
Alafu mbona huu uzi wameususa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukienda gulf, wafanyakazi wote wa ndani wa kiafrika 90% ni wakenya na inayobaki ni waghana, ukiangalia video za wasanii YouTube ukakutana na comment, oooh sijui am a Kenyan watching from Dubai and bla bla jua huyo beki 3 wa muarabu kaiba simu ya boss wake

Wanachapika ile mbaya huko, kuna mdada mmoja wa kikenya aliunguzwa mwili mzima na boss wake wa kiarabu kwa moto, karudi maiti, mwenyeji wa Mijikenda lakini bado hawakomi kwenda.
 
Ukitoa kujua kingereza cha kuombea kazi za ovyo ovyo wakenya hawana chochote cha ajabu kazi kujitapa tu wana SGR,sijui wana mabilionea lakini hawajitapi kuwa wana njaa
 
Back
Top Bottom