Wakenya wauzwa kama watumwa, wenyewe wasema Kenya hali ya maisha ni mbaya.

Wakenya wauzwa kama watumwa, wenyewe wasema Kenya hali ya maisha ni mbaya.

Hahahaha, jaribuni kurekebisha uchumi wenu, vinginevyo mtaendelea kuwa watumwa ndani ya nchi yenu(chini ya wazungu), na nje ya nchi yenu(chini wa waarabu).
Kama Wakenya wanatoroka Nchi Yao na omba omba wenu wanafurika KENYA, je Ni Nchi gani Kati ya Tz na Kenya Ina Hali mbaya ya maisha? Masikini Mtanzania anakimbilia kwa masikini Mkenya naye Mkenya anakimbilia ulaya, kea hivo Kenya kwa Mtanzania Ni ulaya...period. 😂😂😂😂
 
Kila mkenya mwenye akili timamu anafahamu wale omba omba ni mradi wa wakenya [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kwa sababu unabishana ili ushinde argument lazima uweke ushabiki Maandazi.
Kama Wakenya wanatoroka Nchi Yao na omba omba wenu wanafurika KENYA, je Ni Nchi gani Kati ya Tz na Kenya Ina Hali mbaya ya maisha? Masikini Mtanzania anakimbilia kwa masikini Mkenya naye Mkenya anakimbilia ulaya, kea hivo Kenya kwa Mtanzania Ni ulaya...period. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila mkenya mwenye akili timamu anafahamu wale omba omba ni mradi wa wakenya [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kwa sababu unabishana ili ushinde argument lazima uweke ushabiki Maandazi.
Achana naye huko, huku wanatoroka ombaomba kwasababu wamepigwa matufuku kisheria, kwao wanatoroka watu wazima wenye nguvu kwa kupenda wenyewe kwenda kuwa slaves. That it what is known as a failed state.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Achana naye huko, huku wanatoroka ombaomba kwasababu wamepigwa matufuku kisheria, kwao wanatoroka watu wazima wenye nguvu kwa kupenda wenyewe kwenda kuwa slaves. That it what is known as a failed state.
 
Back
Top Bottom