Hii ni ndani ya muda mfupi sana, matukio haya yanayoihusu Kenya na Tanzania ndio yanapelekea uhusiano {uliokuwa wa kishenzi} uzidi kudorora, wafanyabiashara hawa wa Kenya hawampendi kabisa JPM kutokana na kuweka mazingira magumu yanayowafanya wafilisike kila wanapojaribu kwenda kimazoea
Mbona unachuki moyoni?Hawa WAKENYA wakanyangwe tu hamna namna
Hatari tunashukuru wamekamatwa,lakini la kujiuliza,mpaka wanafika border huko sehemu nyingine walipita vipi?rushwa bado ni kubwa sana,Hii ni ndani ya muda mfupi sana, matukio haya yanayoihusu Kenya na Tanzania ndio yanapelekea uhusiano {uliokuwa wa kishenzi} uzidi kudorora, wafanyabiashara hawa wa Kenya hawampendi kabisa JPM kutokana na kuweka mazingira magumu yanayowafanya wafilisike kila wanapojaribu kwenda kimazoea
Mmepanda ulivyotumia neno "mules" haha uko vizur umeliweka mahali pakeHawa ni mules, wakubwa wao wamo Serikalini CCM...Hii ni PR tu. Meanwhile kumbe Tz magaidi washafanya yao na kutorokea Msumbiji? TPDF wako usingizini ama wanavuna Koroshow?
Msapere Arnold ras mkanambo joto la jit
https://www.jamiiforums.com/threads...ka-kupandisha-dola-la-kiislamu.1601220/unread @m
Hawa waliokamatwa ni wadogo sana kwenye Hii chain, wakubwa wao ni wavaao nguo za kijani. kukulacho ki nguoni mwako.Hatari tunashukuru wamekamatwa,lakini la kujiuliza,mpaka wanafika border huko sehemu nyingine walipita vipi?rushwa bado ni kubwa sana,
Yaani hawa washenzi kwanza inabidi mali waliyokamatwa nayo,itaifishwe,madini na magari.
Pili wapigwe kifungo cha miaka 30,na faini juu,faini iwe asilimia 500 ya thamani ya madini
Mabwenyenye wapo Serikalini CCM, hao ndio wanaitafuna Nchi yenu.Mmepanda ulivyotumia neno "mules" haha uko vizur umeliweka mahali pake
Tanzania na Kenya ni tofauti sana, wakati Tanzania wanasiasa wanakatazwa kuwa wafanyabiashara na kuwa matajiri wa kupindukia, Kenya ni kinyume chake. Ili iweze kuwa mwanasiasa lazima uwe fisadi mkubwa, au ukishachaguliwa lazima uwe fisadi ili uweze kuendesha uongozi wako.Mabwenyenye wapo Serikalini CCM, hao ndio wanaitafuna Nchi yenu.
Kikulacho ki nguoni mwakoMabwenyenye wapo Serikalini CCM, hao ndio wanaitafuna Nchi yenu.
Uelewa wako ni finyu Kama kawaida. Wewe kwa akili zako za kutafunia makande unafikiri wanaosafirisha hayo madini wanakubaliwa kivipi kuingia Mererani? SI jiwe alijenga ukuta humo kuwazuia watu Kama hao? Vipi Sasa unapata madini bado yanatoka Kama sio nyinyi wenyewe mnaowasaidia Hawa watu kuiba Nchi yenu?Hivi wale waarabu waliokamatwa kule Mwanza na Kilo 30 za dhahabu, na wale wachina waliokamatwa na pembe 700 za ndovu wakafungwa miaka 30, na yule bibi wa kichina aliyefungwa miaka 15, wote hao ni waafrica wadogo?.
Hivi kwa akili zenu, hayo madini ya kiwango hicho unadhani hao watanzania ni yao?, hao wametumwa kuyavukisha mpaka, wahusika wapo hapo Nairobi, ambapo ndio pori la kujificha. Ukifika Nairobi hakuna polisi anaweza kama mfanyabiashara yoyote mwenye madini ya thamani kubwa kiasi hicho, muhimu sio rangi ya mfanyabiashara, muhimu ni madini hasa yenye thamani kubwa kukamatwa, Kenya haiwezi tokea kukamata mzigo mkubwa kiasi hiki.