joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kenya inaongoza Afrika kwenye "Police brutality & Killings", inaonekana hili tatizo wakenya wanelizoea na ni jambo la kawaida sana, kwasababu tangu enzi za MZEE Jommo Kenyatta hadi Uhuru Kenyatta, hakuna mabadiliko.
Sent using Jamii Forums mobile app