joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Ni lini Mkenya amechukua panga akakata Mnigeria? Ni lini Mnigeria ametiwa kiberiti hapa Kenya? Huku Kenya hata mwizi akikamatwa anapigwa tu kidogo kisha anapelekwa kwa polisi. Sisi tuko civilised. Usiwache chuki yako ya Kenya ikufumbe macho. SA is one of the most violent countries in the world. Hata wanauwa wanawake wao. Jana niliona video president Ramaphosa akiwakanya raia wake waache kuuwa kiholela wanawake wao. Umeona statistics za crime za SA?
Wakenya wengi wameonyesha kukubaliana na kushambuliwa kwa wageni hasa hasa raia wa Nigeria kwa sababu hata Kenya, wanigeria wamejaa na wanekua wakichukua Kazi za raia wa Kenya.
Mtazamo huu sio Mara ya kwanza kwa wakenya kuonyesha chuki dhidi ya wageni kwa kisingizio cha kuchukua Kazi za wageni, ikumbukwe ni hivi karibu tu ambapo Jaguar aliyatamka hadharani kwamba watawapiga na kuwafurusha wageni wote wanaofanya biashara Kenya.
Tulia usikurupuke ktk kujibu hoja zako, huu Uzi kichwa chake ni kuhusu wakenya kukubaliana na matendo ya kuwashambulia wageni, hasa raia wa Nigeria, haujasema kwamba wakenya wanawapiga wageni kama wanavyofanya South Africa.Ni lini Mkenya amechukua panga akakata Mnigeria? Ni lini Mnigeria ametiwa kiberiti hapa Kenya? Huku Kenya hata mwizi akikamatwa anapigwa tu kidogo kisha anapelekwa kwa polisi. Sisi tuko civilised. Usiwache chuki yako ya Kenya ikufumbe macho. SA is one of the most violent countries in the world. Hata wanauwa wanawake wao. Jana niliona video president Ramaphosa akiwakanya raia wake waache kuuwa kiholela wanawake wao. Umeona statistics za crime za SA?
Kama Rais wenu mliye mchagua anakimbia MIDAHALO NA HOME BOYS wenzake, Nyinyi ambao mmemchagua huo mshindanishwe ORAL INTERVIEW na WAKENYA NA WAGANDA kweli mtafua dafu! Endeleeni kupeleka hao wakimbia midahalo kwenye interviews kwenye International organization, hizo fursa mtaendelea kuzisikia radioni.
mkuu kusoma sio kukariri kama watz mnavyofanya,hsts mimi nikianzisha shule naajiri wakenya,watz maneno mengi halafu competion zero halafu wavivu
Hapa Mleta mada kapigwa chrnga ndani ya nyumba yake.Sebureni =sebleni
Acha taarabu basi,
Pumzika kidogo, ushakula pilau kwanza,?? coz naona kama una njaa hivi??
Mwasiti doesn't argue with Mad Men. [emoji23][emoji23]Mwasiti umeishiwa na point hadi unaleta vitu vya 2013 [emoji23][emoji23][emoji23]
Najua huna raha baada ya ndege kurudi.
Wakenya wengi wameonyesha kukubaliana na kushambuliwa kwa wageni hasa hasa raia wa Nigeria kwa sababu hata Kenya, wanigeria wamejaa na wanekua wakichukua Kazi za raia wa Kenya.
Mtazamo huu sio Mara ya kwanza kwa wakenya kuonyesha chuki dhidi ya wageni kwa kisingizio cha kuchukua Kazi za wageni, ikumbukwe ni hivi karibu tu ambapo Jaguar aliyatamka hadharani kwamba watawapiga na kuwafurusha wageni wote wanaofanya biashara Kenya.
babayao255 dawa ya deni Ni kulipa kuondoa aibu ndogo ndogo Kama ya Kukamatwa kwa vitu vyako... ushawahi sikia Nchi nyingine duniani yenye kupitia aibu ndogo ndogo za Madeni [emoji23][emoji23] [emoji23]
Na nyie pia mnajulikana kama nchi 'tajiri' lkn yenye njaa mpk mnaletewa msaada wa mchele wa plastic from Kenya.Tanzania is known for not paying debts, they are the only country in East Africa that were not able to pay their loans hadi ikabidii wasamehewe.
Heri tuletewe msada lakini tusikule albino kama watz.Na nyie pia mnajulikana kama nchi 'tajiri' lkn yenye njaa mpk mnaletewa msaada wa mchele wa plastic from Kenya.
Kichaa kinakusumbua. View attachment 1199845
babayao255 dawa ya deni Ni kulipa kuondoa aibu ndogo ndogo Kama ya Kukamatwa kwa vitu vyako... ushawahi sikia Nchi nyingine duniani yenye kupitia aibu ndogo ndogo za Madeni [emoji23][emoji23] [emoji23]