Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Peleka kule jukwa la siasa ndio ujue nini maana ya povu, hehehe mumekuja kujificha huku kwa Wakenya.
Vipi huyo mwenye youtube verified ni vilaggers? [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1171075
most ni villagers btw, utapata they are into bongo music and afro cinema stuff. and kukuwa verified doesnt mean anything
Mkuu leo umewapatia kweli kweli...
Kila mtu hupenda Tanzania,only witches hate...
Jiwe ni mwamba sote tunamkubali,binafsi kura yangu kashaipata mapemaaaaaKwasababu hawaishi nae!
Hawajui incompetencies zake!
Wanamuona at a far which is really skewed view!
Jiwe is a total failure!
Wasiolala hiki kitanda hawajui ukali wa kunguni wake!
Kwani ye kakwambia ni mwanasiasa???
Kule ni kwa ajili ya wanasiasa,sasa ye si mwanasiasa!!...sasa nani huzingatia maoni ya wanasiasa??????
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbukinya wanaanza kukataana wanadai kwamba hao ni villagers,ati sio wakenya...!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"..kama humpendi Magufuli bana choo"-harmonize
Hahahahaha, yaani huku ndiyo maana sisi team Lumumba tulishapapuuza sasa tunajenga nchi, maana waliobaki vinara wachache wapinga maendeleo wanaishi nchi za nje na wengine wamekimbia nchi na wengine wana uraia wa nchi mbili, so 2020 ni Dkt Magufuli kwenda mbele!Ukikaa huku jamii forums unaweza ukasema 2020 upinzani watachukua nchi[emoji23][emoji23]
Lakini kiuhalisia maskini wengi wanampenda Magufuli...ata hawa machinga waliolipishwa vitambulisho wanampenda sana...
Apeleke jukwaa lolote ambalo Watanzania wanachangia, apate za uso moja kwa moja. Watu vyuma vimekaza mtaani halafu unawapelekea misifa ya kwenye Youtube.
Hao wakenya wenyewe hawamtaki rais wao, vipi wao pia ni kitanda usichokilala?. Sidhani kama West Africa wanajua jina la rais wa Kenya, Magufuli anajulikana karibia Africa nzima kwa kazi anazozifanya.kitanda usichokilalia.
Kumbe YouTube! Nilikuwa nashinda huko mwaka jana. Midanganyika ina mitusi joh! Hampendi wakenya kabisa.
Licha ya hayo mnayosema wananchi wanaikimbia nchi. eliakeem na Bantugbro hawataki kukaa huko.
Wyatt Mathewson yupo njiani akielekea Nigeriaππ
Lol.. Yaani hamjaridhika kuwa nambari moja duniani kwa uchawi? Mpo 92% sasa mnataka kuwa 99%?Mimi nazunguka dunia hata kabla ya JPM kuwa rais.
For your info. Kila mwaka lazima niende home nikawape hi watu wangu wa ukoo na marafiki na majamaa.
Na mawasikiano ya Leo. Kila kitu cha home kinachoendelea najua.
Kama ni sherehe au msiba, nk nashiriki kikamilifu.
Na huyo uliyemsema anaenda Nigeria, asije akawa anaenda kununua uchawi na kupeleka bongo.
πππ
Hebu weka huu uzi palipo Watanzania, kwa mfano uuweke kwenye majukwa ya Watanzania humu JF uone mziki wake, utatukanwa hadi ukimbie.
Watu nje ya nchi ya Tanzania hutegema kusoma yaliyo kwenye magazeti yenu ambayo kutwa yanaimba mapambio ya sifa, maana pakiibuka mwandishi asiyeimba sifa anakumbana na masaibu kama tunayosma kuhusu huyo Kabendera, nimesoma sehemu mumemfungulia mashtaka ya uhaini kisa tu kaandika, jameni uhaini adhabu yake kifo, dah huko kwenu balaa.
Kwa kifupi comments za watu nje ya nchi wanaotegemea kusoma magazeti sio kipimo bora, MaCCM mnafaa kuangalia upepo kwenu ndani, je Mtanzania wa kawaida anasemaje, comments zake ziko vipi ukimpa uhuru wa kusema, tatizo pia kwenu mumezuia wapinzani wasiongee, wakikusanyika hata watano wanapokea kibano, ilhali MaCCm wenyewe hata halaiki mnakusanyika, kutwa mpo kikampeni zaidi. Niliona uzi humu hata polisi wanahutubia na kusifia kwenye mkutano wa CCM.
Lol.. Yaani hamjaridhika kuwa nambari moja duniani kwa uchawi? Mpo 92% sasa mnataka kuwa 99%?
Hongereni kwa kuiwakilisha EA &the world at large. ππ
Jiwe ni mwamba sote tunamkubali,binafsi kura yangu kashaipata mapemaaaaa
Upinzani ushakufa kitambo,nimchague nani?..lipumba,mbowe,au zitto??? Labda niwe nimelewa...
Takwimu zilizotolewa na BBC zilionyesha tofauti na Twaweza, je kati ya BBC na Twaweza, nani ni wabobezi zaidi?
Flatter flatter flatter flatteryWewe siku hizi siwezi kujibishana na wewe, ninakuheshimu sana kati ya wakenya wote. Japo umezaliwa Kenya, lakini roho, Upendo na wema wako sio wa Kenya, lazima umevipata toka Bongo. Ubarikiwe sana.