Wakenya wengi wanamkubali sana Rais JPM

Wakenya wengi wanamkubali sana Rais JPM

babayao255

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2019
Posts
11,632
Reaction score
29,912
Ushahidi upo kwenye comment za huu wimbo mpya wa Harmonize - Magufuli, comment nyingi za wakenya wakitamani kupata raisi Kama JPM
Wimbo ameimbiwa JPM lakini wakenya wamejazana kucoment [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji4][emoji4][emoji4]
IMG_20190803_103106_749.JPG
 
Ukiona comment za wa amerika baada ya kuona vituo vya sgr kenya...ndio utaumia kabisa...

So hicho si kigezo cha kumfanya awe rais bora...au na nyinyi mletewe za watanzania wanavyopagawa na uhuru mtokwe na povu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukikaa huku jamii forums unaweza ukasema 2020 upinzani watachukua nchi[emoji23][emoji23]

Lakini kiuhalisia maskini wengi wanampenda Magufuli...ata hawa machinga waliolipishwa vitambulisho wanampenda sana...
 
Hawa wa JF ndo wanachuki [emoji23][emoji23][emoji23] ila najua in reality wanatamani wapate Mtu kama JPM
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Halafu Wakenya wapo obsessed na Tanzania sana they are thoroughly watching the space sababu tumewatupa mbali sana so far [emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata members wengine humu ukiona comments zao utafikiri Tanzania inawaka moto ila ukienda youtube, Instagram comments nyingi ni kumuunga mkono JPM, ni jf tu ndio hujidanganya wapo wengi.
 
Hebu weka huu uzi palipo Watanzania, kwa mfano uuweke kwenye majukwa ya Watanzania humu JF uone mziki wake, utatukanwa hadi ukimbie.
Watu nje ya nchi ya Tanzania hutegema kusoma yaliyo kwenye magazeti yenu ambayo kutwa yanaimba mapambio ya sifa, maana pakiibuka mwandishi asiyeimba sifa anakumbana na masaibu kama tunayosma kuhusu huyo Kabendera, nimesoma sehemu mumemfungulia mashtaka ya uhaini kisa tu kaandika, jameni uhaini adhabu yake kifo, dah huko kwenu balaa.

Kwa kifupi comments za watu nje ya nchi wanaotegemea kusoma magazeti sio kipimo bora, MaCCM mnafaa kuangalia upepo kwenu ndani, je Mtanzania wa kawaida anasemaje, comments zake ziko vipi ukimpa uhuru wa kusema, tatizo pia kwenu mumezuia wapinzani wasiongee, wakikusanyika hata watano wanapokea kibano, ilhali MaCCm wenyewe hata halaiki mnakusanyika, kutwa mpo kikampeni zaidi. Niliona uzi humu hata polisi wanahutubia na kusifia kwenye mkutano wa CCM.
 
Nyie wakenya wa JF tushawazoea na chuki zenu [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakenya wa Youtube ni some villagers mostly who are into Bongo music. Ni shagzmondo hao, so dont take their opinions highly
 
Subutu...aupeleka kule kw watanzania aone moto
Hebu weka huu uzi palipo Watanzania, kwa mfano uuweke kwenye majukwa ya Watanzania humu JF uone mziki wake, utatukanwa hadi ukimbie.
Watu nje ya nchi ya Tanzania hutegema kusoma yaliyo kwenye magazeti yenu ambayo kutwa yanaimba mapambio ya sifa, maana pakiibuka mwandishi asiyeimba sifa anakumbana na masaibu kama tunayosma kuhusu huyo Kabendera, nimesoma sehemu mumemfungulia mashtaka ya uhaini kisa tu kaandika, jameni uhaini adhabu yake kifo, dah huko kwenu balaa.

Kwa kifupi comments za watu nje ya nchi wanaotegemea kusoma magazeti sio kipimo bora, MaCCM mnafaa kuangalia upepo kwenu ndani, je Mtanzania wa kawaida anasemaje, comments zake ziko vipi ukimpa uhuru wa kusema, tatizo pia kwenu mumezuia wapinzani wasiongee, wakikusanyika hata watano wanapokea kibano, ilhali MaCCm wenyewe hata halaiki mnakusanyika, kutwa mpo kikampeni zaidi. Niliona uzi humu hata polisi wanahutubia na kusifia kwenye mkutano wa CCM.
 
Wao wakipata bundle wanfikiria kuingia waangali nyimbo tu...sasa youtube una comment jamani
Wakenya wa Youtube ni some villagers mostly who are into Bongo music. Ni shagzmondo hao, so dont take their opinions highly
 
Subutu...aupeleka kule kw watanzania aone moto

Ataukimbia uzi wake, unajua kidogo humu JF ndio Watanzania wengi hupata kafursa kakusema, maana kule nje athubutu kuongea tu....defenda zinageuzwa geuzwa mtaani.
 
Back
Top Bottom