Wakenya wengi wanamkubali sana Rais JPM

Wakenya wengi wanamkubali sana Rais JPM

Hata members wengine humu ukiona comments zao utafikiri Tanzania inawaka moto ila ukienda youtube, Instagram comments nyingi ni kumuunga mkono JPM, ni jf tu ndio hujidanganya wapo wengi.
Kweli aisee hyo kitu nmeiona sana instagram watu wanamkubali sanaaa
 
Ukikaa huku jamii forums unaweza ukasema 2020 upinzani watachukua nchi[emoji23][emoji23]

Lakini kiuhalisia maskini wengi wanampenda Magufuli...ata hawa machinga waliolipishwa vitambulisho wanampenda sana...
Hata 2015 walikuwa hivyo hivyo, wakadiriki mpaka kupiga deki barabara na kuzungusha mikono lakini kilichowakuta hawajaamini macho yao hadi leo.
 
Povuuuuuuuuuu
Hebu weka huu uzi palipo Watanzania, kwa mfano uuweke kwenye majukwa ya Watanzania humu JF uone mziki wake, utatukanwa hadi ukimbie.
Watu nje ya nchi ya Tanzania hutegema kusoma yaliyo kwenye magazeti yenu ambayo kutwa yanaimba mapambio ya sifa, maana pakiibuka mwandishi asiyeimba sifa anakumbana na masaibu kama tunayosma kuhusu huyo Kabendera, nimesoma sehemu mumemfungulia mashtaka ya uhaini kisa tu kaandika, jameni uhaini adhabu yake kifo, dah huko kwenu balaa.

Kwa kifupi comments za watu nje ya nchi wanaotegemea kusoma magazeti sio kipimo bora, MaCCM mnafaa kuangalia upepo kwenu ndani, je Mtanzania wa kawaida anasemaje, comments zake ziko vipi ukimpa uhuru wa kusema, tatizo pia kwenu mumezuia wapinzani wasiongee, wakikusanyika hata watano wanapokea kibano, ilhali MaCCm wenyewe hata halaiki mnakusanyika, kutwa mpo kikampeni zaidi. Niliona uzi humu hata polisi wanahutubia na kusifia kwenye mkutano wa CCM.
 
Kl
Peleka kule jukwa la siasa ndio ujue nini maana ya povu, hehehe mumekuja kujificha huku kwa Wakenya.
Kula hii kwanza
IMG_20190803_121443_769.JPG
 
Wakenya wa Youtube ni some villagers mostly who are into Bongo music. Ni shagzmondo hao, so dont take their opinions highly
Vipi huyo mwenye youtube verified ni vilaggers? [emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20190803_121443_769.JPG
 
Ataukimbia uzi wake, unajua kidogo humu JF ndio Watanzania wengi hupata kafursa kakusema, maana kule nje athubutu kuongea tu....defenda zinageuzwa geuzwa mtaani.
Bampa to bampa
IMG_20190803_121537_034.JPG
 
Back
Top Bottom