Wakenya wengi wanamkubali sana Rais JPM

Wakenya wengi wanamkubali sana Rais JPM

Ona huyu
Mombasa ni city, Nakuru is a huge town etc. Ni hard upate diehard bongo fans in urban centres unless ni new wave of settlers. But ukienda ocha/village, Bongo is the real thing
 
Hata members wengine humu ukiona comments zao utafikiri Tanzania inawaka moto ila ukienda youtube, Instagram comments nyingi ni kumuunga mkono JPM, ni jf tu ndio hujidanganya wapo wengi.
Humu kwa miaka ya mingi tangu awamu za nyuma ilikuwa sehemu nzuri ya kujadili mambo ya msingi ya kijamii na maendeleo lakini wapinzani isiwe Tz tu bali East Africa wakavamia kwa wingi kuja kutuliza machungu yao. So it's basically lazima wame dominant members in so much ways. Ila JF haina ubaguzi kila mtu ana nafasi ya mawazo yake kushirikisha wengine pamoja na yanayojiri kitaifa na kimataifa, so waachwe tu waendelee ila ukweli haufichiki Raisi Magufuli is doing his best so far.
 
Rais Kikwete atoa angalizo kuwa Rais hauna ujuzi wa yote, hivyo sikiliza maoni ya wengine :
  1. Tatizo la kukosa sera ya kilimo kikubwa na cha kisasa bila kusahau sekta za uvuvi na ufugaji.
  2. Ukosefu wa viwanda vya kati na vidogo, focus ikiwa labour intensive ili watu wengi waajiriwe
  3. Ukosefu wa ajira au fursa za kujiajiri
  4. Tatizo la Umasikini katika jamii, watu wanalia hakuna masoko ya kuaminika ya mazao ya wakulima pia mzunguko wa fedha umesinyaa sana pesa hakuna mifukoni.
KIKWETE AMTAHADHARISHA RAIS MAGUFULI, NI KUHUSU UNUNUZI WA NDEGE

Source : DARMPYA TV
 
Leo naona umeingia kumi na nane...sasa mbna mnapiga kelele mkisema serikali ya kenya imeshindwa kulisha watu wake...
Leo umeona yamekufika shingoni...ndio wajifanya muungwana eti uhuru kapatia watu wangapi sufuria...sanat sana...mpka nacheka kw furaha sana walai[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Huko kwenu case ni tofauti kidogo hakuna asiyejua kuwa turkana ni sehemu yenye hukumbwa na njaa siku zote hivyo kikawaida serikali ndo kuwajibika kuwatafutia chakula..
Tofauti na hao wanaojidai vyuma vimekaza...sijui kama utanielewa maana we jombaaa akili yako waijua mwenyewe😞😞
 
Mombasa ni city, Nakuru is a huge town etc. Ni hard upate diehard bongo fans in urban centres unless ni new wave of settlers. But ukienda ocha/village, Bongo is the real thing
Nairobi,mombasa still bongo is the real thing,and we all know.. you can't tell us the lies
Sisi tunajua jinsi bongo inawabamba from town to villages...
 
Lol.. Yaani hamjaridhika kuwa nambari moja duniani kwa uchawi? Mpo 92% sasa mnataka kuwa 99%?
Hongereni kwa kuiwakilisha EA &the world at large. 🎃🎃
Usijikute mzungu jane...
Uchawi(imani za kishirikina) na mu-afrika ni kama pete na kidole...
Huwezi kutenganisha uchawi na afrika..
 
Drought ni natural disaster...so kila mtu lazima ajipange vp huo mda ufikapo anaanzaje...so kiufupi waelimishwe tu...
Lkn hko kwenu vyuma kukaza wenyewe wanalaumu serikali...so serikali lazima iwaangalie hta kw jicho la tatu basi...

Na ni nani aliyekudanganya km wale huaga hawapelekewi vyakula...siku hz unawaona bbc na cnn..wako wapi...wametoweka...hawana cha kuandika..wanasubiria msimu mwngine ndio wawasili haraka wapate kutupia picha mitandaoni before serikali kujipanga itapeleka chakula ki vp na kiasi gani
Huko kwenu case ni tofauti kidogo hakuna asiyejua kuwa turkana ni sehemu yenye hukumbwa na njaa siku zote hivyo kikawaida serikali ndo kuwajibika kuwatafutia chakula..
Tofauti na hao wanaojidai vyuma vimekaza...sijui kama utanielewa maana we jombaaa akili yako waijua mwenyewe[emoji20][emoji20]
 
Ushahidi upo kwenye comment za huu wimbo mpya wa Harmonize - Magufuli, comment nyingi za wakenya wakitamani kupata raisi Kama JPM
Wimbo ameimbiwa JPM lakini wakenya wamejazana kucoment [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakenya wanamkubali sana JPM ,he's the man of action and that's very true
 
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza.

Ushahidi upo kwenye comment za huu wimbo mpya wa Harmonize - Magufuli, comment nyingi za wakenya wakitamani kupata raisi Kama JPM
Wimbo ameimbiwa JPM lakini wakenya wamejazana kucoment [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu weka huu uzi palipo Watanzania, kwa mfano uuweke kwenye majukwa ya Watanzania humu JF uone mziki wake, utatukanwa hadi ukimbie.
Watu nje ya nchi ya Tanzania hutegema kusoma yaliyo kwenye magazeti yenu ambayo kutwa yanaimba mapambio ya sifa, maana pakiibuka mwandishi asiyeimba sifa anakumbana na masaibu kama tunayosma kuhusu huyo Kabendera, nimesoma sehemu mumemfungulia mashtaka ya uhaini kisa tu kaandika, jameni uhaini adhabu yake kifo, dah huko kwenu balaa.

Kwa kifupi comments za watu nje ya nchi wanaotegemea kusoma magazeti sio kipimo bora, MaCCM mnafaa kuangalia upepo kwenu ndani, je Mtanzania wa kawaida anasemaje, comments zake ziko vipi ukimpa uhuru wa kusema, tatizo pia kwenu mumezuia wapinzani wasiongee, wakikusanyika hata watano wanapokea kibano, ilhali MaCCm wenyewe hata halaiki mnakusanyika, kutwa mpo kikampeni zaidi. Niliona uzi humu hata polisi wanahutubia na kusifia kwenye mkutano wa CCM.
Kwani hiyo nyimbo ya Harmonize si ni TZ umeona comment nyingi za watanzania zinasemaje?


Wakenya mna matatizo ni wivu tu
 
Okay so what ? Ukweli ni kwamba Magufuli ana udikteta fulani na mtazamo wake kiuchumi sio sustainable in the long run.Only the simple minded can accept this guy whole hog.
 
Anayesema haya maneno ni jamaa tu amabae katulia uswazi hajui kinachoendelea nje ya bongo land[emoji122][emoji122][emoji122]
Wakenya wengi wanapenda kuwa Tz sasa unalala nyumba ya bati full Slim's
 
Anayesema haya maneno ni jamaa tu amabae katulia uswazi hajui kinachoendelea nje ya bongo land[emoji122][emoji122][emoji122]
Kuna ulazima wa kujua..Mngekuwa na akili na kuijua Kenya mgepambana kuziondoa slums zilizo jaa ovyo mmetoa 4 bora duniani
 
Ni
Okay so what ? Ukweli ni kwamba Magufuli ana udikteta fulani na mtazamo wake kiuchumi sio sustainable in the long run.Only the simple minded can accept this guy whole hog.
Nilicheka kule jukwaa la siasa kuna mkali alisema pamba imedoda na wafanyabiashara wamezingua kununua sasa mabenki yanalazimishwa kisa nn,ni hivi ati hawawezi enda benki kukopa mabilioni wakanunue pamba wakati sera ya nchi haieleweki kwamba presidaa akilala atakachoota usiku ndio kesho yake kinakuwa country policy 😆😆😆🤭
 
Back
Top Bottom