Wakenya wote wamebaki midomo wazi baada ya maswali ya Majaji dhidi ya Tume huru ya Uchaguzi & Chebukati. 99% aonesha uchaguzi unaenda kurudiwa


Mpaka sasa sijaona ushahidi wowote kwamba zilifojiwa, japo mimi sio shabiki wa Ruto ila sababu zozote za kuendelea kuchelewesha uapishwaji wake.
 
Mpaka sasa sijaona ushahidi wowote kwamba zilifojiwa, japo mimi sio shabiki wa Ruto ila sababu zozote za kuendelea kuchelewesha uapishwaji wake.
Basi subir wenye taaluma zao waje watoe judgement...subiri
 
Kama ni kuhesabu kura upya haina tatizo, ila kurudia ni kuchezea pesa tu na wanasiasa hawawezi kujali hilo.... anyway kila laheri Rais mteule Dr.Rutto
MK254
Amani ni ghali sana kuliko unavyofikiri
MK254 54
 
Amani ni ghali sana kuliko unavyofikiri
MK254 54

Kuna tofauti kati ya "amani" na "utulivu", kwa mfano kwenu huko Tanzania kuna "utulivu" ila sio amani, maana nakumbuka wengi mlilalamika sana kuhusu figisu za uchaguzi wa 2020.

Naomba haki itendeke ili Kenya tupate amani ya kweli inayozidi utulivu, binafsi hadi hapo sijaona ushahidi wa wizi wowote uliotendeka, sema kulikua na kasoro hapa na pale, ila tusubiri wataalam watolee muongozo wa kisheria, uzuri pande zote mbili zimekubali kuheshimu maamuzi ya kimahakama.
 
NAUNGA MKONO hoja yako. Hivi ni saa ngapi supreme court inanguruma??
 
Kama hatua zote za uchaguzi zilikuwa zina kasoro hata matokeo ya mwisho lazima yana kasoro-hiyo ndio principal.
 
Tanzania ni amani tele
 
Hiyo ndo maana halisi ya tume huru ya uchaguzi.
Ukilinganisha na hii NEC ya TANZANIA ndo utaelewa utofauti mkubwa.
Juzi ndg yenu Mahera akakurupuka kuongea ...
 
[emoji1][emoji1][emoji1] bakini kuchambua mambo ya simba na Yanga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…