n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Ni kweli, hasa umaskini wa FIKRA.Umasikini ni mbaya sana.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, hasa umaskini wa FIKRA.Umasikini ni mbaya sana.....
Vyote tu fikra na maokotoNi kweli, hasa umaskini wa FIKRA.
Hivi kuna mwanamke anaeza poteza muda wake ampende mtu hana kitu ?Umasikini ni mbaya sana.....
Ndio 😹Hivi kuna mwanamke anaeza poteza muda wake ampende mtu hana kitu ?
Mmmmh..hahahahahaha. nyie au wengine?Ndio 😹
Sisi 😹Mmmmh..hahahahahaha. nyie au wengine?
Hahahahaha...sio kweli..binafsi naamini hkn mwanamke atapoteza muda wake kupenda mtu hana kitu ..mwanamke wa hivyo hakunaSisi 😹
Kwahiyo kila mwanaume mwenye mke au mpenzi ni tajiri!!!??Hahahahaha...sio kweli..binafsi naamini hkn mwanamke atapoteza muda wake kupenda mtu hana kitu ..mwanamke wa hivyo hakuna
[emoji1609]Hivi kuna mwanamke anaeza poteza muda wake ampende mtu hana kitu ?
Yeah ila kuna moja inavuta mwenzake. Maokoto yoyote usiyoyaona kwenye fikra huwezi kuyapata kwenye pochi. Na ukiwa na maokoto halafu kichwani 0Kb ni swala la muda tu yatapeperuka yote.Vyote tu fikra na maokoto
Hahahahaha inawezekanaKwahiyo kila mwanaume mwenye mke au mpenzi ni tajiri!!!??
Hahahahaha[emoji1609]
Yes. Umeongea kitu cha Ndani kabisa. Mengine ni ya juuu juuu.Binadamu anayependwa ni yule anayejipenda ,
Kuhusu PESA hizo ni story tu.
kabisa ndugu SAULHali imekuwa tete
SanaaaaaUmasikini ni mbaya sana.....